Ndani ya IT muda huu kwenda Mbeya

Ndani ya IT muda huu kwenda Mbeya

Yan katika safari yote hyo umeona sindiria tu mkuu,tupe na mengine ya njiani.vp ujakutana na nyanya na vitunguu vya njiani mbovu maana wale ni wataalamu wa kubambikiza nyanya na vitunguu.
 
Ukifika Ilula mwambie asimamishe chombo, uwachukulie nyanya na vitunguu.., [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yan katika safari yote hyo umeona sindiria tu mkuu,tupe na mengine ya njiani.vp ujakutana na nyanya na vitunguu vya njiani mbovu maana wale ni wataalamu wa kubambikiza nyanya na vitunguu.
Vingine ni vya siri mkuu
 
Nakumbuka mgonjwa wa ulcers alizidiwa tukateuliwa mimi na binti mmoja hivi tufuate chakula, nikamwambia yule binti tupitie kwanza kwangu nibadili nguo ndiyo tufuate chakula halafu turudi hospitali ya Kakala.

Kufika kwangu na Kigamboni umeme ulivyokua unapenda kukatika tukajikuta tupo gizani nikaamua kuvua nguo pale pale kwakua hawezi kuniona.

Baada ya nguo kuvuka sasa, daaah. Mgonjwa alitusamehe kwakweli.
Hivi kakala club bado inabamba?
 
Nakumbuka mgonjwa wa ulcers alizidiwa tukateuliwa mimi na binti mmoja hivi tufuate chakula, nikamwambia yule binti tupitie kwanza kwangu nibadili nguo ndiyo tufuate chakula halafu turudi hospitali ya Kakala.

Kufika kwangu na Kigamboni umeme ulivyokua unapenda kukatika tukajikuta tupo gizani nikaamua kuvua nguo pale pale kwakua hawezi kuniona.

Baada ya nguo kuvuka sasa, daaah. Mgonjwa alitusamehe kwakweli.
Hivi kakala club bado inabamba?
 
Back
Top Bottom