Ndani ya masaa 24, Kenya imepima 504 na kupata waathirika 5, ila kuna 10 wamepona

Ndani ya masaa 24, Kenya imepima 504 na kupata waathirika 5, ila kuna 10 wamepona

Sasa tumeongeza idadi ya wanaowezwa kupimwa ndani ya masaa 24 kutoka chini ya elfu moja hadi 33,000!, Watakao anzwa kwa mass testing ni madaktari alafu wakaazai wa Nairobi ikifwatiwa na county zengine kama Mombasa, Kilifi, Kwale....ikiendelea hivyo... Wizara inasema tutarajie wagonjwa wataongezeka kwa wingi tukianza mass testing ya kila mtu
Stupid, the maximum you can test per day will be 5000, the evidence is here
https://www.operanewsapp.com/tz/en/...a089c37-bfd0-46ae-987f-d3137ebc1148&from=news

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maombi kwa kenya 191.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Report from Afya House Kenya today
Total cases 191
Death 7
Recovered 10
Ngoma bado mbichi kenya ila naona wenyewe wapo serious maana wanatoa updates after 24hrs daily

Sent using Jamii Forums mobile app

Hujataja waliopimwa zaidi ya 400 ndio wakapaatikana waathirika wawili....
Halafu waliopona ni 24 hadi sasa
 
Stupid, the maximum you can test per day will be 5000, the evidence is here
Covid-19: Good News for Kenyans as Number Jumps to 191

Sent using Jamii Forums mobile app
Stupid ni wewe na kijiji chako, Afadhali mwenzako Geza kauliza simple kwamba nilete ushahidi

Evidence?


Mashini za robotic zenye ziko kwa Kemri labs ni 7 nchi nzima, mashini moja inaweza kufanya 5,000 tests ndani ya masaa 24, 5000 * 7 = 35,000.


Hizi ni mashini ambazo zilikua zimenunuliwa kufanya mass rapid testing ya TB na HIV, mashini hizo saba zimewezesha Kemri kuwa na uwezo wa kufanya test 2 Million za HIV ndani ya wiki...... Lakini zilikua zinahitaji software mpya ya kuzifanya ziwe zinaweza kupima corona automatickly, software ho mpya ndo imeandikwa, tokea wiki iliopita wamekua wakifanya majaribio ya kupima corona na hizo mashini...
Alafu mbali na hio software, hizi mashini zinahitaji reagents tofauti na zile zinazzotumika kufanya manual testing, Kenya ilikua imeagizia hizo reageant mpya kutoka nje.... Jambo zuri ni kwamba kwavile si nchi nyingi duniani ziko na hii mashini (Kwasababu hizo nchi hazikua na janga la TB na HIV) hizi reagents mpya zinazotumika na hizi mashini hazina demand kubwa duniani kama vile reagents zinazotumika sahii kupima corona manually, kwahivyo Kenya itaweza kupata reagents bila shida.












Kenya has overcome a major bottleneck in mass testing for coronavirus, thanks to an innovation by the Kenya Medical Research Institute (Kemri).
In a twist of irony, response to diseases that brought Kenya to its knees in the last decade — Aids, tuberculosis and a brush with the deadly avian flu in 2009 — is what has enabled this breakthrough.
From the current 600 tests per day, the innovation at Kemri will see Kenya process and get results for at least 35,000 samples in 24 hours.
Tracking coronavirus
Kenya will now use the Cobas 6800 or the 8800 HIV viral load machines and the GeneXpert used for point of care testing for tuberculosis. Prof Matilu Mwau, Kemri Busia director, told the Nation that the Cobas machine is able to run as many as 5,000 tests in a day.
“In the unlikely event that we get to that point, we will be ready,” he said in a recent interview.

Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe in his daily updates Tuesday said the ministry will be processing the results faster than usual and will prioritise healthcare workers and people in quarantine.
By yesterday, 4,923 people had been tested as positive cases shot to 172. The Cobas machines are at least in seven government testing centres, including Kemri centres in Busia, Kisumu and Kilifi.
There is one at the Kenyatta National Hospital in Nairobi, the Coast General Hospital in Mombasa and the Moi Teaching and Referral Hospital in Eldoret. Several private labs in the country also own them.
In a previous interview, GeneXpert coordinator Jeremiah Okari told the Nation that the machines especially efficient at detecting pulmonary TB, a respiratory illness like Covid-19.
For the machines to switch from HIV and TB tests to Covid-19, the government through the Kenya Medical Supplies Authority (Kemsa) will order 100,000 special kits from Switzerland, with support from the World Health Organisation (WHO) Emergency Response Centre and the World Bank.
Kemsa Director Jonah Manjari told the Nation that the agency has ordered for the Cobas Sars-CoV-2 machines manufactured by Swiss multinational Roche, a kit that is able to test up to 4,128 patients in a day.
“Roche said they would be here in two weeks from their warehouses, and could be here faster if the clearing is done quickly,” he said.
The GeneXpert uses the Cepheid's Covid-19 test and is able to provide accurate results in 45 minutes. So how will these work?
Using the juice-making analogy, Lancet Laboratories Director Ahmed Kalebi said the Cobas 6800/8800 and the GeneXpert are ‘blenders’ which need ‘sieves’ to make different types of juice.
However, these two ‘blenders’ have ‘sieves’ for making mango juices (testing HIV and TB) but also have the capability to take other sieves for orange juice (test for Covid-19). It is these ‘sieves’ that Kemsa has ordered for: the Sars-CoV-2 and Cepheid's Covid-19 test.
According to Omu Anzala, a member of the national Covid-19 task force and a professor of virology at the University of Nairobi, testing for Covid-19 is currently done on viral genetic material obtained from nose and throat swabs using reverse transcription polymerase chain reaction (RT-PCR).
Respiratory Society of Kenya official Jeremiah Chakaya told the Nation that the “currently available test has a sensitivity of about 70 per cent, implying it will be falsely negative in up to 30 per cent of persons with Sars-CoV2”. To close this gap, Prof Anzala recommends that tests should be “run in triplicates and all of the three have to be positive for a diagnosis to be confirmed”
While there are several challenges that Kenya is experiencing with controlling Covid-19, the government has received praise from the regional health governing bodies for their laboratory capacity.
The Africa Centres for Disease Control and Prevention (Africa CDC) and its American doppelganger raised the alarm that the figures in Kenya, and Africa in general, could be an under-representation due to limited testing capacity.
In a virtual meeting, Africa CDC Director Dr John Nkengasong told the Nation: “Africa does not manufacture its own diagnostics and this has left them at the mercy of procurement delays.”
This revelation comes at a time when evidence is mounting that mass testing, which involves the test-track-and-trace approach, can allow health officials to separate the infected from the healthy and stop the virus from spreading.
The logic behind mass testing is suppression — efforts to reduce the infectivity of a pandemic. Those in the field of tracking diseases call this infectivity R0, or the R-naught.
Testing isolating people who are positive from those who are healthy is targeted to reduce the R-naught to less than one. Studies that have been carried out in Wuhan and other places show that, when unchecked, the R0 of Covid-19 is between 2 and 3, meaning that every infected person infects two to three others.
An R0 of less than 1 indicates that each infected person results in less than one new infection. When this happens, the outbreak will slowly grind to a halt.
The mass testing in Kenya has been hampered by lack of coronavirus test supplies ending in a long wait that has caused serious problems in the fight against the disease.
“Currently, the main gap to be addressed is the supply of reagents. If sample numbers increase, then a possible gap could be human resources for testing,” Kemri said on April 3.
Kenya’s biggest challenge for testing has been contact tracing, identifying then alerting people who have been within the infection range of a person confirmed to have the virus.
New tech at Kemri to enable Kenya to mass test for virus
 
Sasa idadi ya waathirika imetimia 189 hii ni baada ya kupima watu zaidi 2,000, idadi ya
Wakenya waliopona imeongezeka na kuwa 22 sasa.
Kasi ya kupima inaendelea, hivi karibuni watu watapimwa mlango kwa mlango.

----------------------------

Health CS Mutahi Kagwe on Friday, April 10, announced that the number of confirmed Covid -19 cases in Kenya had risen to 189.

Speaking from Afya House, the CS confirmed that in the last 24 hours, five individuals had tested positive for the disease.

"We have managed to test 504 samples, 5 cases have tested positive to the virus," he stated.

"All five cases are Kenyans and only one has a travel history," he added.

The CS stated that three of the five are from Mombasa County while Nyandarua and Nairobi Counties had recorded one covid-19 positive case each.
Two are male while three are female.

Further, the Health CS informed that 10 individuals had recovered and would be discharged after they tested negative twice.

The number of recovered patients has now risen to 22.
Kenya's Covid-19 Cases Rise to 189
Nzuri hiyo. Lakini kupimwa na kuonekana huna ugonjwa kusiwe ndiyo hati ya kukuruhusu kuzagaa mtaani bila kufuata masharti ya kinga yanayosemwa na wataalamu wa afya. Mtu ambaye hajapimwa, atajilinda zaidi ambapo aliyepima na kuonekana hajaathirika atajisikia huru na kwa hiyo ana uwezekano mkubwa zaidi wa kuambukizwa siku za usoni. Hapa elimu ya jamii inahitajika sana kuambatana na upimaji huo.
 
Nzuri hiyo. Lakini kupimwa na kuonekana huna ugonjwa kusiwe ndiyo hati ya kukuruhusu kuzagaa mtaani bila kufuata masharti ya kinga yanayosemwa na wataalamu wa afya. Mtu ambaye hajapimwa, atajilinda zaidi ambapo aliyepima na kuonekana hajaathirika atajisikia huru na kwa hiyo ana uwezekano mkubwa zaidi wa kuambukizwa siku za usoni. Hapa elimu ya jamii inahitajika sana kuambatana na upimaji huo.

Itakua kama UKIMWI, ukipimwa ikutwe uko mzima kawaida huwa unashauriwa jinsi gani ya kuhakikisha unadumisha hiyo hali, maana kwamba tahadhari inabaki ile ile hapabadiliki kitu.
Lakini ukipimwa ikutwe una Corona, lazima utengwe, maana hata kama hauna dalili, utawaponza wengine, na zaidi ukiwaambukiza wazee ndio basi umewamaliza.
 
MK254
Bwashee punguza ujivuni wa kipuuzi, Corona sio ya kufanyia ligi unazotaka.... chukua tahadhari zote muhimu na uokoe jamii yako.
 
PhotoGrid_1586724946864.jpg


New tech at Kemri to enable Kenya to mass test for virus
 
MK254
Bwashee punguza ujivuni wa kipuuzi, Corona sio ya kufanyia ligi unazotaka.... chukua tahadhari zote muhimu na uokoe jamii yako.
Wakenya wakifanya ligi kuna tatitizo. Watanzania wenzako led by Joto la jiwe wakifanya ligi hamna tabu. Kweli kazi mnayo!
 
Sio imetimia imefikia
Sasa idadi ya waathirika imetimia 189 hii ni baada ya kupima watu zaidi 2,000, idadi ya
Wakenya waliopona imeongezeka na kuwa 22 sasa.
Kasi ya kupima inaendelea, hivi karibuni watu watapimwa mlango kwa mlango.

----------------------------

Health CS Mutahi Kagwe on Friday, April 10, announced that the number of confirmed Covid -19 cases in Kenya had risen to 189.

Speaking from Afya House, the CS confirmed that in the last 24 hours, five individuals had tested positive for the disease.

"We have managed to test 504 samples, 5 cases have tested positive to the virus," he stated.

"All five cases are Kenyans and only one has a travel history," he added.

The CS stated that three of the five are from Mombasa County while Nyandarua and Nairobi Counties had recorded one covid-19 positive case each.
Two are male while three are female.

Further, the Health CS informed that 10 individuals had recovered and would be discharged after they tested negative twice.

The number of recovered patients has now risen to 22.
Kenya's Covid-19 Cases Rise to 189

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwez kupima watu wote njia hii ni sawa na panic Dar pekeyake Ina zaidi ya 6 million ukipima wote unamaliza mwaka gani ? Na mpaka utakapomaliza je vipi wale uliowapima huko nyuma watakuwa wanaendeleaje ?. Kinachotakiwa kutumia akil kabla ya kutenda
Ila kiukweli hili la kuwapima wote naliunga mkono natamani nasi iwe hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom