MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kasi ya kupima inapanda, sio mchezo watu 1,330
Halafu saba zaidi wamepona
Pima pima pima, Wakenya tufahamu sasa hivi kirusi kiko mtaani na kinaendelea kukatiza hivyo jitihada za tahadhari zichukuliwe za kila namna, leo nimetembelea baadhi ya maeneo nimeona wengi wapo makini lakini kuna ndugu zetu jameni itabidi virungu vitumike ndio waelewe nini kinaendelea, bado wanajipiga vifua kama majirani zetu wa kusini.
-----------------------------------------
Health Chief Administrative Secretary (CAS) Mercy Mwangangi, on Sunday, April 19, announced that in the last 24 hours, 8 individuals had tested positive for Covid-19, bringing the total number of confirmed cases within the country to 270.
The new cases came after the Ministry of Health (MoH) tested 1,330 samples in the last 24 hours.
Speaking outside Afya House, Nairobi during the daily presser, the CAS also revealed that the ministry's efforts to contain imported cases were seemingly successful, however, the rate of new cases within the country was a cause of concern, she reiterated.
Mwangangi also addressed the rising concern regarding Kenyans caught flouting the measures set to curb the spread of the virus.
"All those who break the curfew rules will be assumed to have been in contact & will hence be taken to quarantine places for 14 days," she warned.
She further revealed that the government would deploy technological surveillance to arrest those congregating after curfew.
Source: 7 Recover as Kenya's Covid-19 Cases Rise to 270
Halafu saba zaidi wamepona
Pima pima pima, Wakenya tufahamu sasa hivi kirusi kiko mtaani na kinaendelea kukatiza hivyo jitihada za tahadhari zichukuliwe za kila namna, leo nimetembelea baadhi ya maeneo nimeona wengi wapo makini lakini kuna ndugu zetu jameni itabidi virungu vitumike ndio waelewe nini kinaendelea, bado wanajipiga vifua kama majirani zetu wa kusini.
-----------------------------------------
Health Chief Administrative Secretary (CAS) Mercy Mwangangi, on Sunday, April 19, announced that in the last 24 hours, 8 individuals had tested positive for Covid-19, bringing the total number of confirmed cases within the country to 270.
The new cases came after the Ministry of Health (MoH) tested 1,330 samples in the last 24 hours.
Speaking outside Afya House, Nairobi during the daily presser, the CAS also revealed that the ministry's efforts to contain imported cases were seemingly successful, however, the rate of new cases within the country was a cause of concern, she reiterated.
Mwangangi also addressed the rising concern regarding Kenyans caught flouting the measures set to curb the spread of the virus.
"All those who break the curfew rules will be assumed to have been in contact & will hence be taken to quarantine places for 14 days," she warned.
She further revealed that the government would deploy technological surveillance to arrest those congregating after curfew.
Source: 7 Recover as Kenya's Covid-19 Cases Rise to 270