Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,330 na kupata waathirika 8, halafu saba zaidi wamepona

Ndani ya masaa 24 Kenya imepima watu 1,330 na kupata waathirika 8, halafu saba zaidi wamepona

Lakini bado mnaongoza. Hutaki hiyo sifa?
Ndio, ni sawa tumekubali bado tunaaongoza, lakini hata wewe unafaa kushtuka ukiona mnaongeza watu themanini ndani ya masaa 24....

Alafu technically, Kwasasa Kenya iko na total cases nyingi kuliko TZ, lakini ukiangalia hizi takwimu za leo,Kenya kuna 14 walifariki na pia kuna wagonjwa 69 wengine walipona na kurudi negative na waliruhusiwa kwenda nyumbani, kwahivyo wale walio na corona Kenya ni 198, lakini Tanzania walio pona ni 11 pekee kwahivyo bado mko na active case 233... So technically speaking, leo hii 20-Apr-2020, Tanzania iko na wagonjwa 233 hospitalini walio na corona na kenya iko na wagonjwa 198 wa corona walio hospitalini!

1587403196938.png
 
Ndio, ni sawa tumekubali bado tunaaongoza, lakini hata wewe unafaa kushtuka ukiona mnaongeza watu themanini ndani ya masaa 24....

Alafu technically, Kwasasa Kenya iko na total cases nyingi kuliko TZ, lakini ukiangalia hizi takwimu za leo,Kenya kuna 14 walifariki na pia kuna wagonjwa 69 wengine walipona na kurudi negative na waliruhusiwa kwenda nyumbani, kwahivyo wale walio na corona Kenya ni 198, lakini Tanzania walio pona ni 11 pekee kwahivyo bado mko na active case 233... So technically speaking, leo hii 20-Apr-2020, Tanzania iko na wagonjwa 233 hospitalini walio na corona na kenya iko na wagonjwa 198 wa corona walio hospitalini!

View attachment 1425037
Yaani hutaki kusifiwa, kweli?
 
Tanzania following closely at 257 cases. Today alone you have recorded an increase of 87 new cases.
Jamaa sijui ni kupika data walikua wanapika au ni uzembe, nyakati muhimu kama hizi inafaa iwe ni vigumu sana mtu kuchanganyikiwa, Jamaa walitangaza wagonjwa wapya 87, alafu wakakosolewa mitandaoni kwamba arusha imehesabiwa mara mbili,.... Ndo wakarekebisha na kuondoa wagonjwa warudi 84.


EWEFpZ5XYAcp51g.jpg



Tena hata hawakutoa taarifa ya kujulisha watu kwamba hio taarifa ya kwanza ilikua na makosa, yani jamaa wamechapisha tu taarifa nyengine na kuisambaza sasa sahii taarifa zote mbili ziko mitandaoni na kama huko makini hata hautajua gani ndo takwimu rasmi


EWD5LQ6XgAAf8T7
 
Jamaa sijui ni kupika data walikua wanapika au ni uzembe, nyakati muhimu kama hizi inafaa iwe ni vigumu sana mtu kuchanganyikiwa, Jamaa walitangaza wagonjwa wapya 87, alafu wakakosolewa mitandaoni kwamba arusha imehesabiwa mara mbili,.... Ndo wakarekebisha na kuondoa wagonjwa warudi 84.


View attachment 1425050


Tena hata hawakutoa taarifa ya kujulisha watu kwamba hio taarifa ya kwanza ilikua na makosa, yani jamaa wamechapisha tu taarifa nyengine na kuisambaza sasa sahii taarifa zote mbili ziko mitandaoni na kama huko makini hata hautajua gani ndo takwimu rasmi


EWD5LQ6XgAAf8T7
They are only guessing figures and that's why we told them that they don't do tests.
 
Bado mnaongoza. Hongereni.

Mbona mlishatuzidi kwa active cases, maana confirmed kwetu ni 281 waliopona ni 69.
Ukilinganisha walio active kwenu mumetupita. Hapa Maccm hamtaki kutahadharisha, bado mnapiga vifua ngumi.
 
Mbona mlishatuzidi kwa active cases, maana confirmed kwetu ni 281 waliopona ni 69.
Ukilinganisha walio active kwenu mumetupita. Hapa Maccm hamtaki kutahadharisha, bado mnapiga vifua ngumi.
Aisee ni ajabu sana unapokataa kusifiwa. Kumbe inawezekana?
 
Wewe unaishiwapi? Tuna kesi 281, 69 wamepona. Hizo ni kesi 212
Mna kesi 254, 11 wamepona. Hizo ni kesi 243.

Sasa Nani anaongoza?
Lakini kumbuka idadi ya wakenya ni ndogo kwa takriban millioni sita kulinganisha na Tanzania. Kwa hiyo piga hesabu yako vizuri kabla hujaanza kuropoka ropoka.
 
Lakini kumbuka idadi ya wakenya ni ndogo kwa takriban millioni sita kulinganisha na Tanzania. Kwa hiyo piga hesabu yako vizuri kabla hujaanza kuropoka ropoka.
Nyeti za kuku zinaonekana upepo ukivuma!
Jiwe liko pangoni Chato lilikimbia Dar.. Endelea kuunga juhudi utaangamia.
 
Nyinyi wakenya bado idadi yenu ni ndogo, yaaani kanchi kadogo kanakojaribu kushindana na nchi kubwa. Hakuna maajabu yoyote hapa.
Ulikuwa unaikejeli Kenya ukitupa hongera za kinafik eti kwasababu tuna kesi nyingi zaidi yenu. Ushahidi upo hata kwenye ukarasa huu. Naona baada ya kupewa takwimu kama zilivyo;
Wewe unaishiwapi? Tuna kesi 281, 69 wamepona. Hizo ni kesi 212
Mna kesi 254, 11 wamepona. Hizo ni kesi 243.
Sasa Nani anaongoza?
Umeanza kusema kwamba Kenya ni kanchi kadogo. Nauliza hivi, huna hamu kabisa ya kusifiwa kwasababu mnaongoza?
 
Back
Top Bottom