mtotomtamuu
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 602
- 1,459
Tukianzia msaada wa Tsh millioni 68 kule Sumbawanga na kule Zanzibar Diamond ametoa zaidi ya Tsh Millioni miamomja kwa mda mfupi tu
inasemekana msaada alioutoa ni sawa mshahara wa Bdozen wa miaka 10 pale mjengoni kwao, Pia ni Mshahara wa Soudy brown wa miaka 12 pale mjengoni.
inasemekana msaada alioutoa ni sawa mshahara wa Bdozen wa miaka 10 pale mjengoni kwao, Pia ni Mshahara wa Soudy brown wa miaka 12 pale mjengoni.