Uchaguzi 2020 Ndani ya mwezi huu nimemtafutia Tundu Lissu kura zaidi ya 1,000

Uchaguzi 2020 Ndani ya mwezi huu nimemtafutia Tundu Lissu kura zaidi ya 1,000

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
 
CCM will never allow peaceful transition of power, they will rig the election!

If we allow President Magufuli to rig and steal this election with impunity,
Then our beloved country will be sleep-walking into oblivion.
 
An imaginary scenario, kama uchaguzi wetu ukisimamiwa na kuendeshwa na wakala say UN, EU and the like, then Jiwe anapigwa saa 12 asubuhi! Kinachowapa kiburi ni kuiba kura johnthebaptist
 
HAHAA HAAA nacheka kwa dhereeeuuuuu teh teh teeh
 
Lisu ana kura gani za kuibiwa bwashee?!

Za makundi haya ( C & P ) from JF

Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chato anaowapa uteuzi kila siku.

Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya :-

  • Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
  • Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
  • Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
  • Kutopandisha mshahara na madaraja
  • Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
  • Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
  • Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
  • Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
  • Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
  • Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
  • Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
  • Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
  • Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
  • Kutunga sheria kandamizi
  • Kutawala kwa kidikteta
  • Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
 
za makundu haya ( C & P ) from JF
Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chatto anaowapa uteuzi kila siku.

Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya:-

- Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
- Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
- Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
- Kutopandisha mshahara na madaraja
- Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
- Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
- Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
- Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
- Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
-Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
- Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
- Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
-Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
- Kutunga sheria kandamizi
-Kutawala kwa kidikteta
- Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
Kila ubaya wa aina mbaya umefanyika awamu hii. Tulisema utawala huu hauna baraka za Mungu.
 
ccm tumelikoroga acha tulinywe
Kosa la CCM ni kuunyima upinzaki haki ya kufanya siasa kwa miaka 5. Wangewaruhusu ungekuta wamezoea mikiki yao kama kina JK na Mkapa. Sasa hivi wanatumia njia na nguvu nyingi mno kuwazima maana hawajazoea wanayoyasikia. Walizoea kusifu na kuimbiwa tu. Sasa wanaumia mno. Hakuna mtu ashawahi kuwaambia Magufuli asituone Watanzania ni wajinga. Kila mtu anahaha kwa nafasi yake. Ukweli ni mchungu kuliko kuuma.
 
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
Ahahahahahahahhahaah! Kwa JPM tayari ninao milioni na wengine bado wananipigia kuniahidi ya kwamba kira zao ni kwa JPM!

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
za makundu haya (c&P) from JF
Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chatto anaowapa uteuzi kila siku.

Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya:-
-Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
- Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
- Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
- Kutopandisha mshahara na madaraja
- Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
- Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
- Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
- Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
- Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
-Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
- Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
- Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
-Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
- Kutunga sheria kandamizi
-Kutawala kwa kidikteta
- Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
Mbona yote haya ni kweli aisee?
 
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
hqdefault-1.jpg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom