Uchaguzi 2020 Ndani ya mwezi huu nimemtafutia Tundu Lissu kura zaidi ya 1,000

Uchaguzi 2020 Ndani ya mwezi huu nimemtafutia Tundu Lissu kura zaidi ya 1,000

Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
Wewe unafaa sana!
 
Vingine sawa.. Ila kwa wadogo zako hapo umezingua..

Kuna uwezekano wadogo zako ni vilaza.. Usitegemee serikali ya Lissu itawafanya wafaulu technically,
Hapana mkuu hapo namtetea mdau, siku hizi elimu imekuwa ya ovyo sana. Mpaka madaraja ya ufaulu yana badilishwa ili tuu ionekane wanaofaulu ni wengi. Japo mashule ni mengi lakini ubora wa elimu upo chini sana unless uwe na uwezo kumsomesha mtoto wako private.
 
Mpaka
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
saiz kura za lisu ninazo 18 ni yeye 2020
 
Za makundu haya ( C & P ) from JF

Sioni Magufuli akipata hata 30% ya kura. Atapata kura za akina Makonda na ndugu zake wa Chato anaowapa uteuzi kila siku.

Wa Tanzania wote au wenyewe au ndugu zao amewaathiri kimaisha kwa maamuzi haya :-

  • Kuwaondoa wanafunzi wa UDOM waliokuwa wanasoma ualimu wa sayansi
  • Kufuta wafanyakazi wa vyeti feki
  • Kuwatumbua wafanyakazi bila kufuata sheria
  • Kutopandisha mshahara na madaraja
  • Kutotoa ajira kwa wahitimu wa vyuo
  • Kuvunja nyumba za Kimara na kuachia za Mwanza
  • Kubagua maendeleo majimbo ya wapinzani kama Kilwa
  • Kuzuia wanafunzi wenye mimba wasiendelee na masomo
  • Kumtimua CAG makini kwa vile kuulizia ufisadi wa Tsh 1.5 Trilion
  • Kuua wakosoaji kama BenSaa Nane na Azory Gwanda
  • Kutumia vibaya fedha za Serikali kama ujenzi wa kiwanja cha Ndege Chato na mbuga ya Burigi
  • Kuwaweka rumande wafanyabiashara kwa makosa ya kubambikiza kama Rugemalira
  • Kuwabambikiza makosa wakosoaji kama Kabendera
  • Kutunga sheria kandamizi
  • Kutawala kwa kidikteta
  • Kuvuruga wafanyabiashara kama Yusuf Manji
Mshamba na Limbukeni sijui atasema nini mwaka huu?.
 
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
Big up sana mkuu
 
Nyinyi watu sijui ata mnatumia akili gani kufikiri, magufuli bado ni Rais mpaka 2025, Hakuna mtanzania anaejielewa anataka kumuachia kiongozi shupavu kama JPM halafu tuchague garasa kama Lissu kwa kweli hapana au uchague makando kando kama Membe siutakuwa upunguani
Mimi nime motivate pia community yote inayonizunguka kumchagua Magufuli
Tena nikiwapa reference za kutosha za kumpa kura magufuli
Na izo ni nitoazo ni mifano hai
 
Hujafikia hata idadi ya wajumbe wa Ccm hata mkoa mmoja.. bado saana......tumpe tuu magufuli kura za ndio
 
Wamama wengi uwa wanachagua ccm,

Mama yangu amesitaafu mwaka huu ajalipwa mafao yake mpaka sasa Mimi nimemwambia wazi ni juu ya utawala mbovu uliopo madarakani.

Bibi yangu yeye Kila mwaka uchagua CCM nimemwambia wazi asije nipigia simu kwamba Hana sukari na kwao sukari haipatikani na ikipatikana inapatikana kwa bei kubwa bali ajitahidi kabadilisha uongozi kwani tatizo ni utawala mbovu akiichagua ccm awe tayari kujihudumia.

Mdogo wangu wa kike yupo chuo mwaka wake wa Kwanza sasa mwaka Jana hakupata mkopo nimemwambia wazi tatizo lililopo ni mfumo mbovu wa CCM akiichagua maana yake miaka yake 3 ya kusoma chuo hatopata mkopo na ataendelea kutuangaisha sisi kaka zake wakati pia tuna familia.

Wadogo zetu wanafeli shule kwa sababu ya miundombinu mibovu ya shule iliyowekwa na CCM nimewaambia wazee nyumbani kwetu kwamba mfumo wa elimu uliopo hauwezi kuwabeba watoto wao kufaulu hasa kidato cha nne wakiichagua CCM waendelee kuvumilia.

Nimeongea pia na vijana wa boda boda kwamba uhaba wa mafuta nchini tatizo ni CCM sasa wachague kuendelea kuchagua CCM waendelee kupata mafuta kwa foleni kwenye vituo na kununua mafuta kwa Bei hata mara mbili au wachague mfumo mpya utakao waletea mabadiliko kwenye sector yao.

Nimeongea pia na Machinga nikawaeleza elfu 15 ya kitambulisho Kila mwaka ni kwa sababu ya mfumo wa CCM haiwezekani una mtaji wa elf 20 halafu ulipie kitambulisho cha elfu 15 Kila mwaka huu ni wizi na utapeli na wanatakiwa wachague kuendelea kuibiwa pesa zao hata kidogo walicho nacho au wachague mfumo mpya wakutengewa maeneo ambayo yatakuwa promoted ili wateja wafike kwenye maeneo hayo!!

Wachague je wapo tayari ili wapewe mikopo ili wakuze mitaji au waendelee na kutapeliwa hata kidogo walicho nacho?


Nimeongea na watu mbali mbali wengine wakaniambia sisi siasa hazituhusu yeyote tu achaguliwe nikawauliza hivi Akwilina alikuwa mwana siasa mpaka anapigwa risasi?

Wakasema hapana nikawaambia alipigwa risasi kwa sababu ya mfumo mbovu wa CCM kutowajibisha watu na hata kesho unaweza kuwa wewe au baba yako au mama yako au mwanao.

Nikawaambia Aliphonce mawazo alikufa na kuacha watoto wadogo je wale watoto siasa inawahusu nini mpaka wampoteze baba je wakikua wale na kugundua aliyesababisha na wakaamua kulipiza kisasi Hali itakuwaje?

Nikawaeleza tunatakiwa kuweka utawala wa wote unaojali binadamu awe CCM awe chadema wote wapate haki sawa.

Mpaka sasa niseme nimeshamtafutia Lissu zaidi ya kura 1,000 za kuongea na watu na kuwapa Elimu juu ya utawala uliopo.

Ndio maana nasema Lissu anashinda Urais mwaka huu kama Kila anayempenda atamtafutia angalau kura 10.
Ubarikiwe baba, hata sie wanajf tumezima ngebe za Mataga, tumeiteka jf, tume badili fikra na mitazamo ya mamia kwa makumi kupitia jf, tunasubiria kwenda field kumaliza kabisa, ikifika October 28 asubuhi saa 4 tuko ikulu
 
Nyinyi watu sijui ata mnatumia akili gani kufikiri, magufuli bado ni Rais mpaka 2025, Hakuna mtanzania anaejielewa anataka kumuachia kiongozi shupavu kama JPM halafu tuchague garasa kama Lissu kwa kweli hapana au uchague makando kando kama Membe siutakuwa upunguani
Mimi nime motivate pia community yote inayonizunguka kumchagua Magufuli
Tena nikiwapa reference za kutosha za kumpa kura magufuli
Na izo ni nitoazo ni mifano hai
Magu hata kule kwao chato alikozaliwa hawezi fikisha kura 1000
 
Back
Top Bottom