Ndani ya vibanda umiza; Nimeamini soka ni biashara

Ndani ya vibanda umiza; Nimeamini soka ni biashara

jmapunda

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2015
Posts
731
Reaction score
2,923
Nipo maeneo ya uswazi ndani ya banda flani hivi tukisubiri kuangalia Manchester derby.Watu wamejaa kibao.Huku ukumbi mzima ni sare za jezi za timu hizi zinazoonekana.Watu wametoa kiingilio kwa roho safi tu.Laiti ingetokea ligi yetu iwe na mvuto angalau tufuatiliwa na nchi za Afrika tu ingekuwa poa sana.Wewe unaonaje?
 
Back
Top Bottom