Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Wengi wao wako radhi, na wameridhia kuunga mkono jitihada za Dr. Samia Suluhu Hassan za sasa; na endapo pia ataamua kugombea ukuu wa nchi kwa ngwe nyingine ya pili, basi watamuunga mkono kwa 100%.
Kuna wanachama wachache miongoni mwa vyama hivyo vya siasa vya upinzani, wanajaribu kuweka vikwazo kwa kuimpose some demands kana kwamba jambo hili ni la Lazima.
Kama unaona jitihada za makusudi za Dr. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi maendeleo, iweje kwenye kumuunga mkono unaweka vigezo na masharti ndugu mzalelondo?
Tuwe wangwana ndugu zangu wananchi. Hebu tusimame pamoja na huyu mama, Rais wetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassan kwa hiyari za dhati za mioyo yetu yetu, kwa kwa uzalendo wetu na maslahi mapana ya waTanzania wote.
Asante sana kwa uzalendo na upendo wenu wa dhati kwa Taifa, vyama ambavyo tayari vimekwisha kuamua kutokusimamisha mgombea urais uchaguzi ujao, badala yake kuungana na mamilioni ya waTanzania kote nchini kumuunga mkono kiongozi shupavu sana na mchapakazo Dr.Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kuna wanachama wachache miongoni mwa vyama hivyo vya siasa vya upinzani, wanajaribu kuweka vikwazo kwa kuimpose some demands kana kwamba jambo hili ni la Lazima.
Kama unaona jitihada za makusudi za Dr. Samia Suluhu Hassan katika kuwaletea wananchi maendeleo, iweje kwenye kumuunga mkono unaweka vigezo na masharti ndugu mzalelondo?
Tuwe wangwana ndugu zangu wananchi. Hebu tusimame pamoja na huyu mama, Rais wetu kipenzi Dr. Samia Suluhu Hassan kwa hiyari za dhati za mioyo yetu yetu, kwa kwa uzalendo wetu na maslahi mapana ya waTanzania wote.
Asante sana kwa uzalendo na upendo wenu wa dhati kwa Taifa, vyama ambavyo tayari vimekwisha kuamua kutokusimamisha mgombea urais uchaguzi ujao, badala yake kuungana na mamilioni ya waTanzania kote nchini kumuunga mkono kiongozi shupavu sana na mchapakazo Dr.Samia Suluhu Hassan.
Mungu Ibariki Tanzania.