Akiongeza dozi ya dawa kwa Boss wenu mnaongea sana, na alipunguza dozi na penyewe mnaongeaIla hizi siku mbili mahojiano ya Haji Manara anaonekana kabisa hayuko sawa! Hata kule kumtaja Mwamedi na Simba kapunguza.
Akiongeza dozi ya dawa kwa Boss wenu mnaongea sana, na alipunguza dozi na penyewe mnaongea
Tuambieni msimamo wenu ili dozi ambayo tutawapa iwe sawa na mahitaji yenu
JF idumu sanaiwapo mechi ya ccl afrika dhidi ya Nigeria Yanga watapoteza na kutoka kwenye mashindano na kisha mechi ya ngao ya jamii Yanga afungwe na simba huu ndiyo utakuwa mwisho wa haji manara !wana Yanga watatoa makucha yao dhidi ya GSM na Manara atadhihakiwa sana! Pona yake Yanga washinde mechi zote mbili kitu ambacho ni kigumu bila Wacongo
Idumu daima.JF idumu sana
Ituume nini mkuu. Manara janja janja km anatuuma haya mshinde mechi ili kuonyesha yeye ndo alikuwa kila kitu pale msimbazi.Simba imewauma sana haji kuhamia upande wa pili
iwapo mechi ya ccl afrika dhidi ya Nigeria Yanga watapoteza na kutoka kwenye mashindano na kisha mechi ya ngao ya jamii Yanga afungwe na simba huu ndiyo utakuwa mwisho wa haji manara !wana Yanga watatoa makucha yao dhidi ya GSM na Manara atadhihakiwa sana! Pona yake Yanga washinde mechi zote mbili kitu ambacho ni kigumu bila Wacongo
Sana anSimba imewauma sana haji kuhamia upande wa pili