Ndani ya wiki 3 zijazo naliona anguko la Manara

Huyo Haji hadi aanguke, Kweni anacheza namba ipi uwanjani?.

Yanga inaweza kutolewa CAF, pia inaweza kufungwa na Simba bila hata ya uwepo wa Haji. Kazi yake ni kuongea tu na tayari anatimiza majukumu yake.
Utaelewa tu muda ukifika saiv bado huwezi elewa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…