Ndaro unafosi fani, huna kipaji

Awali nitambue kipaji cha Braza K toka Kigoma,

1. Ndaro hana kipaji zaidi ya kufosi. Na hivi hamna shule mule basi unaboa Tu.

2. Hapa kati tena umejichanganya kwa kurumbembe ndo limekupoteza Mazima.

3. Rudi Kigoma tulime michikichi (mawese).
Hicho unachokibeza ndio kinachompa kula. Mind your own business mkuu
 
Kuna mafundi sio wazuri lakini wanajenga kwa kiwango chana wanapata pesa na maisha
So anaweza hakawa hana kiwango kikubwa lakini anacho kwa kias flani

Je asifanye hiyo kazi AKAKABE? Aibe au unataka alelewe?
Usimbeze mwanaume anaepambana hata kama anauza maji ya kandoro
Growup!
 
Ulimwengu wa sosho media ni ulimwengu huru, There’s a crowd for everything.

Kwa hili tatizo la ajira lililopo, kama una personality nzuri, be inspired tengeneza jina one day utakuwa influencer/enfluensa (kwa sauti ya Doto magari)
 
Kijana labda nikwambia tu ukweli mchungu .....mjini kuna wengine wenye kipaji wanatafuta hela pia wasio na kipaji wanatafuta hela kwa kuforce king

Hata kwenye biashara kuna watu biashara hawaforce inajiendea unakuta mtu katoa famiy tajir yenye uzoefe na biashara tu wengine kwenye biashara wanaforce king hadi kieleweke

Katika ajira na uongoz serikali .....wengine vyeo vinakuja tu vyewewe hawaforce king sana mfano kina ridhiwan kina makamba .....wazee wa kuforce king hawakuwa na mtu wala nini kina makonda wameforce tu...kina magufur walikuwa maticha

Turudi kwa ndaro yeye ni mmoja ambae kipaji chake ni kidogo kinahitaji kuforce king ili mradi apate hela akipata hela ataenda hata training tu kuendelea kunoa kipaji

MJINI WENGINE BILA KUFORCE HULI UGALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…