Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Ata mimi mkuu kati ya joti na mpoki nani mkali nachagua mpokiUkiona shairi hulielewi ujue hujaandikiwa wewe
Oyaa hata mimi Joti simuelewi ila kuna watu anawachekesha😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata mimi mkuu kati ya joti na mpoki nani mkali nachagua mpokiUkiona shairi hulielewi ujue hujaandikiwa wewe
Oyaa hata mimi Joti simuelewi ila kuna watu anawachekesha😅😅
umri wako tafadhaliAwali nitambue kipaji cha Braza K toka Kigoma,
1. Ndaro hana kipaji zaidi ya kufosi. Na hivi hamna shule mule basi unaboa Tu.
2. Hapa kati tena umejichanganya kwa kurumbembe ndo limekupoteza Mazima.
3. Rudi Kigoma tulime michikichi (mawese).
Tanzania comedy ni mbaya sanaUkitaka kujua wa Tz wengi bolt zimelegea kichwani na yule jamaa anaejiita Mkaliwenu nae eti ni comedian
Babu mkombe wa kulichombe mpenda pombe mbele ya wapambe ukimkuta anakunywa pombe usimuombe msubiri nyumbani akupe embe.Ila BABU MKOMBE anaitendea haki kabisa Comedy. Angekuwepo pia KAFUKU KAHURANANGA mambo yangekuwa 🔥🔥 kweli kweli.
Kweli kabisa Kiongozi. Yaani walikuwa wanaburudisha sana wale jamaa. Nilikuwa nafurahia sana kusikiliza radio RFA siku ya Jumamosi.Babu mkombe wa kulichombe mpenda pombe mbele ya wapambe ukimkuta anakunywa pombe usimuombe msubiri nyumbani akupe embe.
Kafuku kahurananga, itagata kinana, okech okech na wenzao. Huwaoni, unasikia tu maneno lakini unainjoi.
Siku hizi comedy ni kuongea ama kufanya matusi huku ukijichekesha ndio COMEDY yenyewe. Hovyo sana.
Tunda ni mtoto mzuri?Ila ndio Wana ishi na kula watoto wazuri kama tunda!
Hapo #3 usiwe unawaambia watu wako wa karbu kama mtoto,rafiki,ndugu na wafanyakaz wenzako.Pale wanapo fight kufanikisha ndoto zao ,kama huna mbinu mbadala ya kuwasaidia bora ujinyamanzie.Maana yatakukuta ya madam Rita na Master J kwa Jomba Nchumali wa bongo uhondo mtupu.Awali nitambue kipaji cha Braza K toka Kigoma,
1. Ndaro hana kipaji zaidi ya kufosi. Na hivi hamna shule mule basi unaboa Tu.
2. Hapa kati tena umejichanganya kwa kurumbembe ndo limekupoteza Mazima.
3. Rudi Kigoma tulime michikichi (mawese).
Mimi Joti,hasa kwenye scene za kusakata miziki.Ata mimi mkuu kati ya joti na mpoki nani mkali nachagua mpoki
Huyu Mjita kumbe katokea KG!Awali nitambue kipaji cha Braza K toka Kigoma,
1. Ndaro hana kipaji zaidi ya kufosi. Na hivi hamna shule mule basi unaboa Tu.
2. Hapa kati tena umejichanganya kwa kurumbembe ndo limekupoteza Mazima.
3. Rudi Kigoma tulime michikichi (mawese).