BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema kusimama kwa ndege hizo za Shirika la Ndege (ATCL), aina ya Airbus a220-300 kumetokana na hitilafu ya kiufundi na ambapo watengenezaji waliagiza zisiruke.
Amesema Serikali inaendelea na mazungumzo na watengenezaji kuhusu matengenezo ya Ndege hizo ili zikae sawa na kuendelea na shughuli za usafirishaji.
Msigwa ameongeza kuwa tatizo hilo limezikumbuka kampuni nyingi za Ndege duniani na ni jambo la kawaida kutokea kwenye masuala ya kiufundi.
Amesema Serikali inaendelea na mazungumzo na watengenezaji kuhusu matengenezo ya Ndege hizo ili zikae sawa na kuendelea na shughuli za usafirishaji.
Msigwa ameongeza kuwa tatizo hilo limezikumbuka kampuni nyingi za Ndege duniani na ni jambo la kawaida kutokea kwenye masuala ya kiufundi.