Ndege (air fly) zinatumia mafuta gani?

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Salute,


Kuna kitu nakiwazaga sana lakini sipati majibu.

Ndege inatumia mafuta gani ?, nilisikia wengine wakisema zinatumia mafuta ya taa. Kwahiyo jibu kamili sijapata.

Wenye kujua watufahamishe.
 
Salute,


Kuna kitu nakiwazaga sana lakini sipati majibu.

Ndege inatumia mafuta gani ?, nilisikia wengine wakisema zinatumia mafuta ya taa. Kwahiyo jibu kamili sijapata.

Wenye kujua watufahamishe.
Yako kama mafuta ya taa lakini wanayaongezea vitu flani flani..

Wajuzi wa mambo watakuja kieleza kwa undani
 
Kuna uzi fulani hivi kuhusu mambo ya ndege tafuta huo jamaa kaelezea kinagaubaga kuhusu ndege jamaa ni engineer wa ndege...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…