Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako kama mafuta ya taa lakini wanayaongezea vitu flani flani..Salute,
Kuna kitu nakiwazaga sana lakini sipati majibu.
Ndege inatumia mafuta gani ?, nilisikia wengine wakisema zinatumia mafuta ya taa. Kwahiyo jibu kamili sijapata.
Wenye kujua watufahamishe.