stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Hiyo dini ni vichekesho vitupuNiwakumbushe wavaa Kobazi, huko Saudi Arabia mtume alipoishi Hezbollah inatambulika kama kikundi Cha Kigaidi..
Ila Watu mnaokaa mbagala mnaamini ni Waislam wenzenu
Hili unalosema tulikwambia ulete ushahidi ukashindwa.Unaifadhi adui wa mtu alafu anashambulia kutokea kwako kwanini usishambuliwe?
Ikitokea Israel imeamua kuacha kabisa kupigana , nini kitatokea kwa wakazi wa taifa hilo ?Wadau hamjamboni nyote?
Siku ya leo Oktoba 7 ndege za Jeshi la IDF zaidi ya 100 zimefanya mashambuluzi makubwa zikilenga shabaha na kusambaratisha maeneo takribani 120 yaliyo ngome kuu za magaidi ya Hezbollah yaliyojichimbia Kusini mwa Lebanon
Shambulizi hilo la hatari lilitumia takribani saa moja tu kabla ya ndege hizo kugeuza kurudi mapumzikoni
Idadi ya wahanga itajulikana huko mbeleni ila kwa leo toshe kusema IDF imeamua
Mungu wabariki watoto 12 wa Yakobo mwana wa Isaka mwana wa Ibrahimu
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
October 7, 2024
IDF says 100 fighter jets attacked over 120 Hezbollah targets in south Lebanon today
By Emanuel Fabian Follow
Today, 6:38 pm
This picture taken from the southern city of Tyre shows smoke billowing from the site of an Israeli airstrike in a southern Lebanese village, on October 7, 2024 (KAWNAT HAJU / AFP)
Some 100 Israeli fighter jets carried out a large wave of airstrikes against more than 120 Hezbollah targets in southern Lebanon earlier today, the IDF says.
The strikes, which lasted an hour, hit Hezbollah sites belonging to the terror group’s Southern Front, elite Radwan Force, rocket and missile division, and intelligence division, according to the military.
Hili unalosema tulikwambia ulete ushahidi ukashindwa.
Hizbollah hivi tunavyoongea wako mpakani na Israel.
Je unalijua hilo au unaropokwa kama umelewa mbege!?
Vita vinapiganwa ndani ya Lebanon kumbuka Hilo, kama Hezbollah wana ubavu wangeingia ndani ya IsraelHili unalosema tulikwambia ulete ushahidi ukashindwa.
Hizbollah hivi tunavyoongea wako mpakani na Israel.
Je unalijua hilo au unaropokwa kama umelewa mbege!?
Tizama vyombo vya habari na ushahidi uliletwa humu.Unavyoandika hapo utafikiri na wewe upo kwenye huo mpaka.
Uwe unatumia akili bro.Vita vinapiganwa ndani ya Lebanon kumbuka Hilo, kama Hezbollah wana ubavu wangeingia ndani ya Israel
Pole sanaTizama vyombo vya habari na ushahidi uliletwa humu.
Kama hutizami habari ni wewe.
Pole yako wewe.Pole sana
Sasa unawapangia jwtz sehemu ya kushambulia? Ujue we jamaa una tatizo kichwani, kama jwtz imeona kuna maghala yamehifadhi silaha huko Nairobi kwanini wasishambulie?Uwe unatumia akili bro.
Wanajeshi wa Kenya wapo mpaka wa Namanga na wanashambulia wewe JWTZ unarusha makombora Nairobi,je hiyo ni akili!?
JIBU KAMA MTU MZIMA UNAYEJIELEWA.
Huwa nasemaga hutumii akili unaona kama nakutukanaga.Sasa unawapangia jwtz sehemu ya kushambulia? Ujue we jamaa una tatizo kichwani, kama jwtz imeona kuna maghala yamehifadhi silaha huko Nairobi kwanini wasishambulie?
Israel inashambulia popote wanapoona wao panawafaa, hiyo haihusiani na vita vya ardhini vinavyopiganwa ndani ya Lebanon
Myahudi akimalizana na Hezbollah, vinafuata vikaragosi vya pale Yemen.Soon haya mataifa yanayowasaidia wayahudi nayo yataingia katika mizozo ya vita kubwa na yatashindwa kupeleka misaada kwa mayahudi na hapo ndipo mayahudi watakapojua hasira za waislam.
Wakimalizana na magaidi wote atakaefata ni mfadhili wao mkuu irani, Mungu ibariki Israel tunataka dunia yenye amaniMyahudi akimalizana na Hezbollah, vinafuata vikaragosi vya pale Yemen.
Mwaka huu magaidi ya kiislamu yameyatimba walahi
Kabisa ndio maana Israel hawezi kumpiga Iran kwa sasa kwa sababu akianza kumpiga Iran hao magaidi wa Hamas, Houth na Hezbollah wanaanza kushambulia Israel kwa vikombora vyao kutoka Iran.Wakimalizana na magaidi wote atakaefata ni mfadhili wao mkuu irani, Mungu ibariki Israel tunataka dunia yenye amani
Sasa bro! Acha kukimbia mjadala kwa kisingizio Cha utu uzima maana huo utu uzima umekufanya kuwa kilaza, hapa umejiona umeandika bonge la point, nimekwmbia vita vinapiganwa ndani ya Lebanon, mbona Hezbollah wanarusha maroketi popote ndani ya Israel wakijiskia, kwanini wasivamie ndani ya Israel? Kwanini Israel ikishambulia popote mnalalamika, Israel ilishambulia Beirut na kumuua nasralah ulitaka washambulie wapi? mnapangia adui sehem ya kushambulia?Huwa nasemaga hutumii akili unaona kama nakutukanaga.
Hivi unajielewa wewe unamuacha adui mlangoni kwako unalipua sehemu nyingine!?
Bro mie mtu mzima bana sibishani UFALA kaa bishana na watoto wenzako,hii comment yako inadhihirisha umjinga kiasi gani.
Hata Nyerere angekua hai angekusikia angekuchapa makofi,ni sawa yeye aache kupigana na askari wa Idd Amini waliopo Kagera aende kulipua Kampala.
Bro END OF DISCUSSION WITH YOU.
Nakupa point ya mwisho naona unazidi kuongea UFALA TU HAPA.Sasa bro! Acha kukimbia mjadala kwa kisingizio Cha utu uzima maana huo utu uzima umekufanya kuwa kilaza, hapa umejiona umeandika bonge la point, nimekwmbia vita vinapiganwa ndani ya Lebanon, mbona Hezbollah wanarusha maroketi popote ndani ya Israel wakijiskia, kwanini wasivamie ndani ya Israel? Kwanini Israel ikishambulia popote mnalalamika, Israel ilishambulia Beirut na kumuua nasralah ulitaka washambulie wapi? mnapangia adui sehem ya kushambulia?
vidumewapo live huko Al jazeera,nini ndege 100 hata waje Jehova wao vita ipo pale pale mpk ceasefire GAZA ikamilikeWadau hamjamboni nyote?
Siku ya leo Oktoba 7 ndege za Jeshi la IDF zaidi ya 100 zimefanya mashambuluzi makubwa zikilenga shabaha na kusambaratisha maeneo takribani 120 yaliyo ngome kuu za magaidi ya Hezbollah yaliyojichimbia Kusini mwa Lebanon
Shambulizi hilo la hatari lilitumia takribani saa moja tu kabla ya ndege hizo kugeuza kurudi mapumzikoni
Idadi ya wahanga itajulikana huko mbeleni ila kwa leo toshe kusema IDF imeamua
Mungu wabariki watoto 12 wa Yakobo mwana wa Isaka mwana wa Ibrahimu
Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
October 7, 2024
IDF says 100 fighter jets attacked over 120 Hezbollah targets in south Lebanon today
By Emanuel Fabian Follow
Today, 6:38 pm
This picture taken from the southern city of Tyre shows smoke billowing from the site of an Israeli airstrike in a southern Lebanese village, on October 7, 2024 (KAWNAT HAJU / AFP)
Some 100 Israeli fighter jets carried out a large wave of airstrikes against more than 120 Hezbollah targets in southern Lebanon earlier today, the IDF says.
The strikes, which lasted an hour, hit Hezbollah sites belonging to the terror group’s Southern Front, elite Radwan Force, rocket and missile division, and intelligence division, according to the military.