Nakupa point ya mwisho naona unazidi kuongea UFALA TU HAPA.
Madai ya Israel inashambulia walipo Hibzollah na askari wake.
Hizbollah askari wake wapo mpakani na Lebanon na Israel.
Beirut kuna ofisi za chama cha Hizbollah na ni ofisi za kisiasa mpuuzi wewe.
Tukio la kumuua Hassan Nasrallah usifananishe na mashambulizi ya sasa hivi.
Madai ya pili ya Israel ni kuingiza jeshi kwa miguu kuliteketeza kundi la Hizbollah.
Siku tatu zilizopita Hizbollah wamejitega mpakani wakavamia Kiryat Shmona na kuua askari wa IDF ikisemekana vifo vimefika 300 hadi sasa.
Inamaana KAMA JESHI LENYE UWELEDI LILITAKIWA KUPAMBANA NA HAO WANAMGAMBO HAPO MPAKANI NA KIRYAT SHMONA.
Unalipua Beirut HAKUNA ASKARI WA HIZBOLLAH UNA AKILI AU MAVI!??
Hizbollah imeshambulia hovyo baada ya Israel yako unayoishabikia kushambulia hovyo.
Na hiyo phase ishapita,usilete hiyo phase ku justify upuuzi ulioandika.
Phase ya sasa ni ground invasion South Lebanon,je Beirut ni South Lebanon!?
Na Israel si ilitoa evacuation order raia wote waende Beirut watoke South Lebanon!?
Sasa unalipuaje ambako unawaambia raia wakimbilie!?
We jamaa umedata,fala,mpuuzi ama mjinga!?