Ndege hizi zinazonunuliwa cash zina faida gani kwa Mtanzania?

Ndege hizi zinazonunuliwa cash zina faida gani kwa Mtanzania?

Isaya : Mlango 50

11 Tazama, ninyi nyote mwashao moto, mjifungiao hiyo mienge; endeni ninyi katika mwali wa moto wenu, na katikati ya mienge mliyoiwasha. Mtayapata haya kwa mkono wangu; mtalala kwa huzuni.
Mbona hayaendani na ndege
 
Mazingira ya biaahara yangekua mazuri huku kilimo nacho soko lake likiwa la uhakika hapo sawa ila kwa sasa itabeba wabunge tuu kwenda kula posho Dodoma maana biashara ipo chini sana...
 
Imefikia hatua ya kutokujua kuwa kufufua miundombinu ya Usafiri wa anga majini na nchi kavu kutasisimua utalii tutaongeza pato la ndani tutapatafaida itakayotumika kununulia madawa kuboresha miundombinu ya maji shule nk mnataka tule hata mbegu? Kesho mtapanda nnn
 
Wameshaambiwa wapinge kila kitu na mwenyekiti wa kudumu,hawawezi kwenda kinyume mkuu.
 
Wakati mwingine hao wapinzani wana hoja!

Mtu hawezi toka kwenye nyumba ya tembe aende kupanda BOEING 878.

Tununue mandege sambamba na kuboresha maisha halisi ya mtanzania mmoja mmoja!

Nimesikia tuna mapesa mengi, huku tunawadhibiti mabeberu wanatupa pato zuri kwenye rasilimali zetu. Hivyo, tunajiweza sana.

Juzi Mzee Mwanakijiji alikuja na hoja nzuri sana ya namna ya kupambana na kutokomeza makazi duni ya tembe na kukarabati shule zilizochoka ziwe na muonekano wa kisasa!

Haiwezekani tujisifu tuna mandege huku watoto wanavaa kaptula zenye viraka na kusoma kwenye sakafu za udongo. Vumbi, bacteria, virus, tuberculosis, pumu, na kila kitu humo!

Umasikini katika individual basis ni mkubwa sana! Hasa vijijini!
 
Wakati mwingine hao wapinzani wana hoja!

Mtu hawezi toka kwenye nyumba ya tembe aende kupanda BOEING 878.

Tununue mandege sambamba na kuboresha maisha halisi ya mtanzania mmoja mmoja!

Nimesikia tuna mapesa mengi, huku tunawadhibiti mabeberu wanatupa pato zuri kwenye rasilimali zetu. Hivyo, tunajiweza sana.

Juzi Mzee Mwanakijiji alikuja na hoja nzuri sana ya namna ya kupambana na kutokomeza makazi duni ya tembe na kukarabati shule zilizochoka ziwe na muonekano wa kisasa!

Umasikini katika individual basis ni mkubwa sana! Hasa vijijini!
Kwani baba yako akiwa na biashara ya gari kufaidika nayo mpaka uipande? Ww hata darasani walimu wako waliteseka
 
Unataka serikali ikupe pesa? Acha fikra zakishoga, serikali iboreshe miundombinu wewe tumia miundombunu kutafuta pesa. Usiwe na akili zakipuuzi kama @zitto
Wakati mwingine hao wapinzani wana hoja!

Mtu hawezi toka kwenye nyumba ya tembe aende kupanda BOEING 878.

Tununue mandege sambamba na kuboresha maisha halisi ya mtanzania mmoja mmoja!

Nimesikia tuna mapesa mengi, huku tunawadhibiti mabeberu wanatupa pato zuri kwenye rasilimali zetu. Hivyo, tunajiweza sana.

Juzi Mzee Mwanakijiji alikuja na hoja nzuri sana ya namna ya kupambana na kutokomeza makazi duni ya tembe na kukarabati shule zilizochoka ziwe na muonekano wa kisasa!

Umasikini katika individual basis ni mkubwa sana! Hasa vijijini!
 
Kazi ni kusifia tuu,leo hii meko angekuwa anaboresha miundo mbinu vijijini halafu wapinzani wakawa wanataka zinunuliwe ndege sijui nyie ccm mngebaki upande gani.
 
Wakati mwingine hao wapinzani wana hoja!

Mtu hawezi toka kwenye nyumba ya tembe aende kupanda BOEING 878.

Tununue mandege sambamba na kuboresha maisha halisi ya mtanzania mmoja mmoja!

Nimesikia tuna mapesa mengi, huku tunawadhibiti mabeberu wanatupa pato zuri kwenye rasilimali zetu. Hivyo, tunajiweza sana.

Juzi Mzee Mwanakijiji alikuja na hoja nzuri sana ya namna ya kupambana na kutokomeza makazi duni ya tembe na kukarabati shule zilizochoka ziwe na muonekano wa kisasa!

Haiwezekani tujisifu tuna mandege huku watoto wanavaa kaptula zenye viraka na kusoma kwenye sakafu za udongo. Vumbi, bacteria, virus, tuberculosis, pumu, na kila kitu humo!

Umasikini katika individual basis ni mkubwa sana! Hasa vijijini!
Mi nshaongea hadi nmechoka...
 
Ni 2% ya Tz wanaotumia usafiri wa mabundi 🦉. Mibundi 🦉 inaruka tu humuhumu sebuleni, haifiki hata kwa jirani. Mibundi 🦉 ni hasara.
Tumruhusu CAG akague ATCL muonea itakavyokuwa aibu, kilio na kusaga meno kwa kufanya fund misuse.
FB_IMG_15721251828291467.jpg

Baba Swalehe
 
Imefikia hatua ya kutokujua kuwa kufufua miundombinu ya Usafiri wa anga majini na nchi kavu kutasisimua utalii tutaongeza pato la ndani tutapatafaida itakayotumika kununulia madawa kuboresha miundombinu ya maji shule nk mnataka tule hata mbegu? Kesho mtapanda nnn
Bado hawajielewi,wanajua tumenunua kwa ajili ya show...
 
Back
Top Bottom