Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna moja ya shirika la Alaska ilifeli mfumo wa kuiweka sawa hivyo ikawa inashuka kama jiwe. Ili kuiweka sawa rubani akaipindua lakini ikawa imefika baharini, so kuna utata kama commercial airliner inaweza kupaa juu chini.juu chini inasidia nini ndugu
Under certain manuver, but haiwez kuruka hivyo kutokea ardhin only ikiwa tayari iko angani, japokuwa FAA wamepiga marufuku sich attempt sababu ni too risk
Kuna moja niliitazama kupitia kipindi cha aircraft investigation nadhani ilikuwa ni Asia huko nchi kidogo imenitoka kulikuwa na wingu zito pia ndege ilikuwa katika altitude ya juu tu lakini mara kwa mara GPWS ina alert terrain pull up wakahisi labda kuna malfunction katika mfumo wakazima switch ghafla wanatahamaki mlima huo mbele yao Ile ndege ilijipiga kiwango ambacho nilisema ndege ni salama mno ila siku ikiamua yake ni aibu.Katika Vitu uombe sanaa sana mnooo isikukute ni ajali ya Ndege!!! Ndege ni moja ya Vitu naviogopa sanaaa..Ikipigwa Turbulance tu huwa nakaribia kuzimia
Haiwezi kuruka hivyo ila ikiwa juu angani ina uwezo wa kugeuka.
Shimo la tewa kwani nini kwene tafsiri yako?Kuna mjinga hapo juu anawaza mashimo ya tewa tu 🤣🤣🤣.
Ndege ni usafiri salama sana. Wanasema una uwezekano mkubwa wa kufa kwa ajali ukiwa unaenda airport kuliko kufa kwa ajali ya ndegeKatika Vitu uombe sanaa sana mnooo isikukute ni ajali ya Ndege!!! Ndege ni moja ya Vitu naviogopa sanaaa..Ikipigwa Turbulance tu huwa nakaribia kuzimia
Ndege kama nilikua nimeanza kuizoea ila juzi hapa nilisafiri kwenda nchi flani sasa kulikua na connecting flights kama 2 ama 3 ili ufike na kurudi the same, aisee, ile flight ya mwisho kufika kule ndege ilikua inapaa na kushuka ghafla kisha inapaa tena, ni mwendo wa saa 1 na nusu ila niliona ni kama masaa 5, tuliposhuka nilijawa sana na uoga wa ndege.Katika Vitu uombe sanaa sana mnooo isikukute ni ajali ya Ndege!!! Ndege ni moja ya Vitu naviogopa sanaaa..Ikipigwa Turbulance tu huwa nakaribia kuzimia