Ndege inayomsafirisha Nancy Peloce yaonekana ikikaribia kisiwa cha Taiwan. China yakaa tayari kwa lolote!

Ndege inayomsafirisha Nancy Peloce yaonekana ikikaribia kisiwa cha Taiwan. China yakaa tayari kwa lolote!

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
20220802_164517.jpg
 
Mtoa hoja relax, nchi yetu tuna matatizo makubwa mno kama ya unemployment, economic etc etc, US na China hawawezi kuingia vitani kisa eti ziara ya speaker?,mtoa hoja ni vema ukawa na wasiwasi what's happening na mpaka wetu na Mozambique
 
Back
Top Bottom