I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
US ni mbinafsi.Hakuna kitu kitatokea
Unadhani China na US hawaogopi kushusha uchumi wao
Sema sana sana China.Hakuna kitu kitatokea
Unadhani China na US hawaogopi kushusha uchumi wao
Kwa hiyo USA haogopi kushusha uchumi wake?Sema sana sana China.
Nyakati zinabadilikaMwenye nguvu mpishe. Long live US, Israel.
NA KIWAKE TUUUUsiku kutawaka
akishindaa hiii nanyoosha mikono juuuIfike wakati tutambue kuwa chuki zetu kwa US hazisaidii chochote, jamaa ni super power, na hakuna mbabe zaidi yake.
Tuna mizigo yetu china lazima wasiwasi iwepoMtoa hoja relax, nchi yetu tuna matatizo makubwa mno kama ya unemployment, economic etc etc, US na China hawawezi kuingia vitani kisa eti ziara ya speaker?,mtoa hoja ni vema ukawa na wasiwasi what's happening na mpaka wetu na Mozambique
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuna mizigo yetu china lazima wasiwasi iwepo
Zipigwe aisee,tumechoka kusikia khs world war.Ni Muda wetu kushuhudia sasa.Jamini mambo yanaenda kuwa sipo utani. Kesho la china linapeleka silaha ktk ufukwe wake Kwa mashambulizi ya Taiwan
Wanaichukia US au wanai-appreciate?Ifike wakati tutambue kuwa chuki zetu kwa US hazisaidii chochote, jamaa ni super power, na hakuna mbabe zaidi yake.