Ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Dubai

BRB

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
342
Reaction score
818
Salam wadau, naomba kufaham shirika la ndege lenye bei nafuu kwa ajili ya trip ya Dar es Salaam to Dubai. Pia shirika hilo likiwa na huduma ya kushughulikia VISA litakuwa na sifa ya ziada. Naomba kuwasilisha
 
Mkuu ulifanikisha? Kama bado naamini utasaidiwa, kuna watu kibao humu wana uelewa mzuri na haya mambo.
 
Salam wadau, naomba kufaham shirika la ndege lenye bei nafuu kwa ajili ya trip ya Dar es Salaam to Dubai. Pia shirika hilo likiwa na huduma ya kushughulikia VISA litakuwa na sifa ya ziada. Naomba kuwasilisha
Fly Dubai
 
bei nafuu inategemea na mazingira, mashirika huwa na offer katika vipindi tofauti, kwahiyo unaweza kukuta kipindi kingine Ethopia ni rahisi kipindi kingine Fly dubai ndio rahisi. Ukitoa hizo mbili na ATCL ndio mashirika ya bei rahisi. Emirate air line na Oman AIr mara nyingi bei zio juu unless kuwa na offer kali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…