<br />afadhali wewe sie tulipshapatwa hiyo presha na baya walinzi watanzania wenyewee loh nchi yangu
afadhali wewe sie tulipshapatwa hiyo presha na baya walinzi watanzania wenyewee loh nchi yangu
Moto haumalizi msitu, maji ( mafuriko ) hayamalizi msitu, msitu unamalizwa na shoka ambalo mpini wake unatokana na msitu.
Sishangai na sisi watanzania tukishiriki mstari wa mbele kusaidia kuchukua dhahabu, afterall hawa ni wapagazi tu kuna wanaosaini kuotoa PL za vitalu, wajiolojia wanaofanya utafiti ( kwa gharama za serikali) na kupanga foleni kwenye kampuni za wazungu kuwaeleza report za survey kuwa wapi kuna madini gani.
Yote hii ni hadithi ya shoka na msitu, tumekwisha
nilijiuliza kwa nini wale poliisi wanawaua watanzania wakati wakichimba na wao kutaka kupeeleka madini kama watanzania..inaumiz sana tusubiri huyo werema aliesema atachunguza shame on them
pesa zinaenda wapi ? mbona kila kitu kinakufa nchini mwetu?kila mradi wa jamiii unakufa ..why? pesa ya mauzo inapelekwa wapi? au hii nayo ni siriHivi hii dhahabu:
"The letter provides background information on gold mining to Tanzania, saying in 2010, Tanzania produced some 44 tonnes of gold, almost two thirds of the total produced from the region and 1.7 per cent of global gold production."
Source: allAfrica.com: Tanzania: Miners Say Gold Production Well Regulated
Mlitaka isafirishwe na ngarawa? au mtainunua nyie hapa mtengeze mikufu na pete za ndoa? Mnanshangaza!
pesa zinaenda wapi ? mbona kila kitu kinakufa nchini mwetu?kila mradi wa jamiii unakufa ..why? pesa ya mauzo inapelekwa wapi? au hii nayo ni siri
<br />Pdiddy unamoyo wa kufanya kazi hapo airport kama ingekuwa mimi siwezi kukaa na kuona mali zetu kil kukicha zinapitishwa hapo tena bila ya kulipiwa ushuru lazima nafikiri ningepata kichaa au ningegeuka Al shababu. Nisingeweza kuvumilia ipo siku mtasikia nimejitwika mabaruti na kuwaingilia huko huko walipo hao wliosaini mikataba ya kishe**i
<br />Hivi hii dhahabu:<br />
<br />
<font color="#0000ff"><i>"The letter provides background information on gold mining to Tanzania, saying in 2010, Tanzania produced some 44 tonnes of gold, almost two thirds of the total produced from the region and 1.7 per cent of global gold production."</i></font><br />
Source: <a href="http://allafrica.com/stories/201102280004.html" target="_blank">allAfrica.com: Tanzania: Miners Say Gold Production Well Regulated</a><br />
<br />
Mlitaka isafirishwe na ngarawa? au mtainunua nyie hapa mtengeze mikufu na pete za ndoa? Mnanshangaza!