Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Duh kweli hii nchi inaliwa na wenye nchi katika hali isiyokuwa ya kawaida askari wasio na idadi
walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama clinton
anarudi tena nini jamani la hasha ndpo nilipojuzwa wah fulani wanaleta mzigo wao wa dhahabu
muda si mrefu aisee hiyo gariilivyojaza nilitamani kuwaita al shababu tanzani anyway wacha tuangalie
wenzetu wwakicheka tutafanyaje
walitanda airport nzima bila kujua nini kinaendelea kila ukipita askari na mtutu nikajiuliza mama clinton
anarudi tena nini jamani la hasha ndpo nilipojuzwa wah fulani wanaleta mzigo wao wa dhahabu
muda si mrefu aisee hiyo gariilivyojaza nilitamani kuwaita al shababu tanzani anyway wacha tuangalie
wenzetu wwakicheka tutafanyaje