Ndege mbili za Airbus kupokelewa siku ya Ijumaa, Uwanja wa Abeid Aman Karume Zanzibar

Kwa wajuzi wa mambo jamani, hiyo cruising altitude ya hiyo cessna caravan ni safe kweli? Au sio Cessna hiyo ni A220 wameikosea? 😳





 
Chadema oyee ,lisu safi ,wananchi wa ubelgiji mlio na matawi tanzania mpo
 
 

Attachments

  • IMG_0559.MP4
    2.8 MB
Kwaiyo izo ndege mbona hatuoni picha picha za Zanzibar kama mashada ya karafuu bado ni AirTanzania na picha tigwatwiga, Zanzibar hakuna twiga
 
Kuiita ndege Tanzanite ni 'Grammatical error'! Wale waliosoma Classification kwenye Biology wanajua jinsi ya kutumia mfumo wa kutoa majina (Nomenclature)
Mfano kwa kuwa ndege zingine zimepewa majina ya miji au maeneo, ili kuwe na mfuatano/ mtiririko wa majina, basi ndege hiyo inatakiwa iitwe Mererani.
Ili kuweza kuiita Tanzanite, basi ndege nyingine zilitakiwa ziwe zimepewa majina kama Copper, Zinc, Gold, Silver, Diamond nk.
 
Mkuu nimeipenda hii kwanini usiipandishe kama uzi ili wahusika wapitie hapa wajionee mawazo mazuri haya.
 
Zanzibar wawe na shirika Lao la ndege..
Waite Zanzibar air..

Huku atcl tuivunje..tuanzishe Kilimanjaro airlines
Kuipa jina la Zanzibar moja kati ya ndege mbili zilizokuja ni kukumbushia hadithi ya mwarabu na ngamia.
 
Tanzania injitahidi sana kukua ,lakini naona inongezeka miguu tuu, kwa urefu ,ila akili na mwili havikui.

Kulikoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…