Ndege mbili za kivita za Urusi zapigwa

Hawako serious na Vita Hawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii vita ni USSR reunification na utaifanya Urusi iwe powerful country in the world
Hivi kwa nini huwa mnaongea Kama mmekatwa vichwa?hivi huwa mnaangalia mdororo wa uchumi Russian Wanaenda kumbana nao?mabank yanafungwa huko,hawaruhusiwi kutumia hela zozote za kigeni kwa Sasa,msitawaliwe Sana na Mapenzi yenu kwa Putin angalia kawadumbukiza wapi Wananchi wake
 
Kama ni kweli ndo vita hivyo..Unajua vita vya Tanzania na Uganda tulipoteza watu wangapi na tuliandamwa na athari za kiuchumi kwa kiasi gani??
Dah ile vita ndo ilifanya uchumi wetu kudorala na Kenya kupanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…