Ndege mbili za kivita za Urusi zapigwa

Ndege mbili za kivita za Urusi zapigwa

Hyo ishakanushwa ww unatuletea Leo ilikuwa ilikuwa propaganda hadi waziri wa ulinzi alipost hzo ndege zinavyoangushwa kuja kufuatilia kumbe video game akafuata fasta kwa aibu na ndio maana station zote zinazoonyesha yanayotokea vitani zinafungwa wabaki wenyewe watulishe matango poriView attachment 2137758
Hawako serious na Vita Hawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii vita ni USSR reunification na utaifanya Urusi iwe powerful country in the world
Hivi kwa nini huwa mnaongea Kama mmekatwa vichwa?hivi huwa mnaangalia mdororo wa uchumi Russian Wanaenda kumbana nao?mabank yanafungwa huko,hawaruhusiwi kutumia hela zozote za kigeni kwa Sasa,msitawaliwe Sana na Mapenzi yenu kwa Putin angalia kawadumbukiza wapi Wananchi wake
 
Kama ni kweli ndo vita hivyo..Unajua vita vya Tanzania na Uganda tulipoteza watu wangapi na tuliandamwa na athari za kiuchumi kwa kiasi gani??
Dah ile vita ndo ilifanya uchumi wetu kudorala na Kenya kupanda
 
Back
Top Bottom