Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demand ndogo wakati, Precision Air inajaza ndege tatu kila siku (tena bei juu)Demand ndogo
Tafuta hela! Nini maana ya private jet?Hivi ni kweli kuwa Airtanzania hawana ndege
Kiasi kwamba wanaweka kandege kamoja tu Arusha to Dar hata siku busy kama Ijumaa?
Sahihi kabisa waongeze ndege kwa route ya arusha darDemand ndogo wakati, Precision Air inajaza ndege tatu kila siku (tena bei juu)
hapo sijataja Coastal, flight link na wengine
mfano; Tafuta ndege ya kutoka Arusha to dar ijumaa hii ya tar 23 au inayo fuata, utapata majibu
Kwanza Arusha, -Dar nauli kiasi gani?Hivi ni kweli kuwa Airtanzania hawana ndege?
Kiasi kwamba wanaweka kandege kamoja tu Arusha to Dar hata siku busy kama Ijumaa?
Ikaja ndege ya Bei poa kama zile za Ulaya na kucharge shs 100,000 Inaweza kupata faida mara tatu ya sasa na pia kukuza ajira sababu ya shift za wafanyakazi zinatongeza; halafu ATC wataanza kulalamika wanakosa Abiria ambapo kimtazamo wanakosa tayari hata sasa....Inawezekana gharama ya uendeshaji ni kubwa
Ikaja ndege ya Bei poa kama zile za Ulaya na kucharge shs 100,000 Inaweza kupata faida mara tatu ya sasa na pia kukuza ajira sababu ya shift za wafanyakazi zinatongeza; halafu ATC wataanza kulalamika wanakosa Abiria ambapo kimtazamo wanakosa tayari hata sasa....
Kwanza Arusha, -Dar nauli kiasi gani?
Tiketi ya kwenda na kurudi 250k hadi 350k