MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 817
- 593
Ameimaliza CCM yetu. Chama chetu kilikuwa ni chama cha wakulima na Wafanyakazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kusahau wizi wa hela za tetemeko la Kagera , unanua ndege huku raia wanataabika kwenye mahitaji yao muhimu ?Wasalaam.
Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema.
Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya wanyonge ilivyowakopa na kuwadhulumu wakulima wa pamba, korosho na tumbaku.
Inasikitisha jinsi ilivyowakopa wafanyakazi wa umma stahiki zao km;
1.likizo
2.uhamisho
3.eScott
4.kupanda madaraja
5.mafao kwa wastaafu n.k
Hitimisho: kama serikali hii ina pesa na ni tajiri kulikua na sababu zipi za kutesa wananchi wako kwa kuwakopa visenti na kununua midege na kujenga uwanja chato kwa mabilioni ya pesa?
Ova.
Maendeleo yana vyama
Kulikuwa na sababu gani kukwapia rambirambi ya Wahanga wa Tetemeko kule Mkoani Kagera??Wasalaam.
Nimefatilia kampeni za mgombea urais wa CCM ambae ndio rais anaemaliza muda wake. Katika kila mkutano amekua akiimba pambio kwamba amenunua midege 11 tena kwa cash na sio mkopo kwangu ni jambo jema.
Kinachonisikitisha ambacho naamini kinawasikitisha wengi ni jinsi serikali hii ya wanyonge ilivyowakopa na kuwadhulumu wakulima wa pamba, korosho na tumbaku.
Inasikitisha jinsi ilivyowakopa wafanyakazi wa umma stahiki zao km;
1.likizo
2.uhamisho
3.eScott
4.kupanda madaraja
5.mafao kwa wastaafu n.k
Hitimisho: kama serikali hii ina pesa na ni tajiri kulikua na sababu zipi za kutesa wananchi wako kwa kuwakopa visenti na kununua midege na kujenga uwanja chato kwa mabilioni ya pesa?
Ova.
Maendeleo yana vyama
Bashite au mwanaye yupi?Mwanaye pia anavyeti feki
Mtoto wako huyo unayemteteaBashite au mwanaye yupi?
Bashite, basi sawaMtoto wako huyo unayemtetea
Ameimaliza CCM yetu. Chama chetu kilikuwa ni chama cha wakulima na Wafanyakazi.
Bashite ndo mtoto wakoooBashite, basi sawa
Walichoniboa ni wamejiua wenyewe, na kwa nchi makini Upinzan ni kitu cha maana kutia chachu ya maendeleoU
Upinzani kamwe hautakufa upo mioyoni mwa watanzania, kinachowabeba ni NEC na MAPOLICE
Mtaongea sana ila upinzan mmejiua wenyewe