Ndege vita za Israel na Marekani zinapiga jalamba kujiandaa kwa tukio muhimu

Ndege vita za Israel na Marekani zinapiga jalamba kujiandaa kwa tukio muhimu

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
875
Reaction score
633
Ndege-vita za Israel aina ya F-15,F-16 na F-35 zimeungana na dege la kimarekani Mama wa madege yote B-52 kufanya mazoezi ya pamoja tayari kwa tukio ambalo linategemewa kufanyika hivi karibuni.

IMG_1822.jpeg
IMG_1821.jpeg
 
Ndege-vita za Israel aina ya F-15,F-16 na F-35 zimeungana na dege la kimarekani Mama wa madege yote B-52 kufanya mazoezi ya pamoja tayari kwa tukio ambalo linategemewa kufanyika hivi karibuni.


Siungi mkono kabisa suala hili la kuwahamisha kwa nguvu Watu wa Palestina ili waihame nchi yao ya kuzaliwa. Siungi mkono jambo hili kwa sababu siyo Haki hata kidogo.

Ni kweli kabisa kwamba Wapalestina Wanayo Haki ya kuhama kutoka katika eneo hilo, lakini kuhama huko ni lazima liwe suala la hiyari lakini siyo kulazimishwa kwa nguvu.
Hii haikubaliki Kamwe!
 
Siungi mkono kabisa suala hili la kuwahamisha kwa nguvu Watu wa Palestina ili waihame nchi yao ya kuzaliwa. Siungi mkono jambo hili kwa sababu siyo Haki hata kidogo.

Ni kweli kabisa kwamba Wapalestina Wanayo Haki ya kuhama kutoka katika eneo hilo, lakini kuhama huko ni lazima liwe suala la hiyari lakini siyo kulazimishwa kwa nguvu.
Hii haikubaliki Kamwe!
Hapo umeona kuna sentesi inasema kuhamishwa wapalestina?
 
Siungi mkono kabisa suala hili la kuwahamisha kwa nguvu Watu wa Palestina ili waihame nchi yao ya kuzaliwa. Siungi mkono jambo hili kwa sababu siyo Haki hata kidogo.

Ni kweli kabisa kwamba Wapalestina Wanayo Haki ya kuhama kutoka katika eneo hilo, lakini kuhama huko ni lazima liwe suala la hiyari lakini siyo kulazimishwa kwa nguvu.
Hii haikubaliki Kamwe!
Nyuma ya keyboard?

Netapusi na Trump hata hawajui kama kuna kiumbe wewe kina exist.

Wahi kule ukapinge kwa vitendo, si kwa typing tena ukiwa huku shithole
 
Unafikiri hatujui kinachoendelea huko?
Kwa Nini wafanye mazoezi ya kijeshi katika anga la nchi ya ugenini bila ruhusa kutoka kwa mwenyeji wao Palestina? Wewe huoni kwamba Kitendo kama hicho ni uvamizi wa kijeshi kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa?
Kitu nimekuja kugundua jua lishazama ni kwamba hakuna kitu kama sheria za kimataifa bali tu mwenye nguvu atafanya kile kinachompendeza.

Kuna muda tulikuwa tunapangwa kwamba Marekani sio tu rais mwenye nguvu bali ni mfumo kwa ujumla wake lakini mwenendo wa Trump mpaka sasa(japo bado anayofanya yako ndani ya mamlaka yake napata wasi wasi)unanipa mashaka na hivi vitu sijui sheria au taratibu.(Labda zipo tu vitabuni au ni kwa wanyonge tu,just imagine ile mipango ya Trump kujitoa UN ikibarikiwa na watu wake hizo sheria za kimataifa zitatoka wapi?The US will no longer be condemned by the UN agencies)
 
Siungi mkono kabisa suala hili la kuwahamisha kwa nguvu Watu wa Palestina ili waihame nchi yao ya kuzaliwa. Siungi mkono jambo hili kwa sababu siyo Haki hata kidogo.

Ni kweli kabisa kwamba Wapalestina Wanayo Haki ya kuhama kutoka katika eneo hilo, lakini kuhama huko ni lazima liwe suala la hiyari lakini siyo kulazimishwa kwa nguvu.
Hii haikubaliki Kamwe!
Waache wauwane hukumu ataitoa mungu mwenyezi
 
Kitu nimekuja kugundua jua lishazama ni kwamba hakuna kitu kama sheria za kimataifa bali tu mwenye nguvu atafanya kile kinachompendeza.

Kuna muda tulikuwa tunapangwa kwamba Marekani sio tu rais mwenye nguvu bali ni mfumo kwa ujumla wake lakini mwenendo wa Trump mpaka sasa(japo bado anayofanya yako ndani ya mamlaka yake napata wasi wasi)unanipa mashaka na hivi vitu sijui sheria au taratibu.(Labda zipo tu vitabuni au ni kwa wanyonge tu,just imagine ile mipango ya Trump kujitoa UN ikibarikiwa na watu wake hizo sheria za kimataifa zitatoka wapi?The US will no longer be condemned by the UN agencies)

Lakini Nchi yoyote ile ina Haki za kuweza kujitoa kutoka UN. Mathalani, Korea ya Kaskazini haipo chini ya UN
 
Lakini Nchi yoyote ile ina Haki za kuweza kujitoa kutoka UN. Mathalani, Korea ya Kaskazini haipo chini ya UN
Yeah Korea kaskazini hayupo but guess what! hana impact kubwa bado ni bwana mdogo anaweza asiwe chini ya UN lakini hawezi kukiuka taratibu zao kizembe bila kuonja joto la jiwe.

Jambo la hatari ni kwamba,Marekani akijitoa UN ni kwamba inakuwa ngumu maana hizo zote zinaitwa international laws ni agencies za UN ndio zinaweza kuzi-execute.(otherwise nahitaji kujifunza zaidi)Sasa si ndio itakuwa nani atamfunga paka kengele, maana the US will no longer respect those laws and other stuff that are agreed internationally(chances for the US to misbehave might be high)
 
Unafikiri hatujui kinachoendelea huko?
Kwa Nini wafanye mazoezi ya kijeshi katika anga la nchi ya ugenini bila ruhusa kutoka kwa mwenyeji wao Palestina? Wewe huoni kwamba Kitendo kama hicho ni uvamizi wa kijeshi kwa mujibu wa Sheria za Kimataifa?
Naamini hujui kinachoendelea Unahisi tu vitu ambavyo havipo kabisa!! Kwa taarifa yako tu mazoezi hayo ni kwa ajili ya Wahouth na Bwana wao Iran. B- 52 haliwezi likashughulika kupiga kupiga (Marehemu) Gaza ambayo tayari inapumlia mashine. Kwa hiyo Ondoa wasiwasi hao unaowaita wewe Wapalestina siku zao zinahesabika Israe bado inahitaji watu wake 59 waliotekwa na magaidi hao. Nimekushangaa sana unasema Gaza ni nchi ya ugenini!! Toka lini Gaza au Palestina ikawa nchi? Hizo sheria za kimataifa zipi hizo?
 
Back
Top Bottom