Hapo wakristo mnapendaaa,nyie suala la kuuliwa watu wa Gaza au warabu kwenu ni furahaa kubwaa, dini hizi!Ndege-vita za Israel aina ya F-15,F-16 na F-35 zimeungana na dege la kimarekani Mama wa madege yote B-52 kufanya mazoezi ya pamoja tayari kwa tukio ambalo linategemewa kufanyika hivi karibuni.