Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemjibu kisomi,hongera,Akon na mihela yake aliiuza ndege yake ndani ya miezi sita tu na anajuta kuinunuaUnafkir kumiliki ndege ni sawa na kumiliki FEKON au TVS?
1> Vibali
2>Airworthiness Costs
3>Rubani tu kumlipa ni ishu nyingine
4>Kuiweka kwenye HANGAR ni ishu nyingine
5>Ikiruka kuna charges
6>Ikitua kuna charges
7>kuna charges za services provider mfano ATC ktk ishu za Aeronautical services.
8> Insurance cost
9>Fuel
10>Crew management costs
Yaan kumiliki ndege sio sawa na kumiliki FEKON au BAJAJ
Very costly.. hayo madude sio kabisa.Umemjibu kisomi,hongera,Akon na mihela yake aliiuza ndege yake ndani ya miezi sita tu na anajuta kuinunua
duniani kuna aina nyingi za ndege, kuna ndege kiumbe, kuna ndege za kichawi, na ndege kama za ATCL. yeye alimaajisha ipi kati ya hizo,Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni kuongeza thamani yake.
Baada ya kauli hiyo, Diamond akasifiwa sana na kuelezwa kwamba angekuwa msanii wa kwanza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kumiliki ndege yake.
Tulisikia mengi, sifa kem kem kutoka kwa wapambe wake wakiwemo akina Baba Levo ambao walisema kwamba si tu kwamba bosi wao huyo ana mpango wa kutaka kununua hiyo ndege, bali tayari amekwishainunua ila tu bado kuwasili kwa vile inamaliziwa.
Kuanzia wakati huo tunaona kimya. Tumesubiri kwa mwaka mzima lakini kimya hadi sasa. Hiyo ndege iko wapi jamani au imeishakuja kinyemela?
Ni hivi mfano rahisi ni hizi gari za BREVIS unafkir kwanini wanayakimbia? Kulinunua bei rahisi ishu gharama za uendeshaji zipo juu.Maelezo yako hayajajibu swali la mtoa mada.kwasababu mtu hawezi kununua ndege akashindwa kulipia hivyo vitu.
Huyo msanii afanye haraka kama hawezi aseme, mwaka unaisha malengo ya wafuatiliaji hayatimii. Mtu kukaa mwaka mzima akisubiri ni unyanyasaji.Tumesubiri kwa mwaka mzima
[emoji1787][emoji23]dah[emoji12] kwamba inakuja in parts wanakuja kui assemble kwenye kiwanda Cha nyumbu?
Unauliza ndege ya Diamond badala uulize treni ya Gwajima (isiyokuwa na mabehewa) aliyodai amenunua tangu mwaka 2016 hadi leo haionekani ilipo? Nchi hii ina watu wa ovyo sana.Mwezi Septemba mwaka jana CEO wa lebo ya WCB na mwimbaji wa Bongofleva, Diamond Platnumz akiongea na DW Africa alithibitisha kununua ndege binafsi (private jet) kwa lengo la kile alichoita ni kuongeza thamani yake.
Baada ya kauli hiyo, Diamond akasifiwa sana na kuelezwa kwamba angekuwa msanii wa kwanza kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati kumiliki ndege yake.
Tulisikia mengi, sifa kem kem kutoka kwa wapambe wake wakiwemo akina Baba Levo ambao walisema kwamba si tu kwamba bosi wao huyo ana mpango wa kutaka kununua hiyo ndege, bali tayari amekwishainunua ila tu bado kuwasili kwa vile inamaliziwa.
Kuanzia wakati huo tunaona kimya. Tumesubiri kwa mwaka mzima lakini kimya hadi sasa. Hiyo ndege iko wapi jamani au imeishakuja kinyemela?
Ndio maana hajanunua sababu kulipia hivyo haweziMaelezo yako hayajajibu swali la mtoa mada.kwasababu mtu hawezi kununua ndege akashindwa kulipia hivyo vitu.
[emoji23][emoji23]Imezuiliwa ubelgiji
Ni watu wengi sana, wengi tena sana wanaonunua ndege ila gharama za uendeshaji zikawashinda. Wengi mnoMaelezo yako hayajajibu swali la mtoa mada.kwasababu mtu hawezi kununua ndege akashindwa kulipia hivyo vitu.
Ndege nzuri ni Cessna 172/182Ni watu wengi sana, wengi tena sana wanaonunua ndege ila gharama za uendeshaji zikawashinda. Wengi mno