Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warusi wa Mbagala watadai hizi ni propaganda!Shughuli imekua nzito mpaka wameanza kuuana wenyewe kwa wenyewe.
Wameshikwa na kihoro hawa vijana wa Putin
Wameclaim sana kwani ukichunguza uwelewa wao kuhusu propaganda hawaelewi chochoteWarusi wa Mbagala watadai hizi ni propaganda!
Hali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
Hali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
Haya mazumbukuku ya USA na UE yanafurahisha sana, nimeamini mabeberu kuna kitu yalifanya vichwani mwetu maana si kwa mahaba haya ya kushabikia propaganda kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1] Asanteni Sana DW, FOX NEWS,BBC, SKY NEWS, CNN, VOA etcView attachment 2164560
ClaimWameclaim sana kwani ukichunguza uwelewa wao kuhusu propaganda hawaelewi chochote
Mbona nimeangalia vizuri tu hii video hakuna popote ambapo ndege za Russia zilipobutuliwa?Hali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
Shangaa jitu hata kuandika vizuri halifahamu kabisa, afu kuna mapoyoyo yanaamini upuuzi wake [emoji3526]Claim
Crame
Craig
Crane
Ama labda hajachanganya kaamua kuwapiga wenzie kwamba acheni upuuzi kuvamia nchi za watu alaf akajifanya alichanganya
Hali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
Mtoa posti ndio kila namba 1,Aliyeona ndege ya Russia ikiangusha mabomu kwa wanajeshi wowote wale (sio lazima wawe wa Russia) kwenye hilo li-video la uongo anieleze ni sekunde ya ngapi nami nijionee
Hapo ndio utajua kuwa Pro-Ukraine wana uwezo mdogo ktk kutofautisha propaganda na ukweli
View attachment 2164608View attachment 2164609View attachment 2164610
Akili ndogo UziaHali inazidi kuwa mbovu hadi Warusi wameanza kupoteana na kushambuliana wenyewe kwa wenyewe.....
Video yake inasaidia kupima na kutambua namna gani Pro-Ukraine walivyo na uwezo duni wa kutambua mambo hata yanayoonekana wazi kwenye videoMtoa posti ndio kila namba 1,
Walio comment kumsapoti malimbukeni walio pindukia