Ndege ya Kivita ya Urusi SU - 35 yaingia Katika anga la Marekani huko Alaska, Rubani wa marekani apata Kiwewe

Ndege ya Kivita ya Urusi SU - 35 yaingia Katika anga la Marekani huko Alaska, Rubani wa marekani apata Kiwewe

Umeshaondoka Beirut?
Ulizamia Gaza na Beirut mazima kiasi ukasahau kuwa upande mwingine kuna matukio yanaemdekea.
Kwa taarifa yako tu, hili tukio siyonla leo ni wewe ulikosa mawasiliano ulipokuwa umejificha na Nasrallah (SAW).
Nikufahamishe tu, Russia haikuingia aalaska bali alikuwa yupo upande wake. Katika mpaka baina ya nchi na nchi kuna umbali unatakiwa majeshi yakae na ukiingia ndani ya umbali hui hata kama ni ndani ya nchi yako unahesabiwa umevamia nchi nyingine hata kama haujavuka border.

Kwa kukiuka sheria hiyo ndiyo maana kila siku wanajeshi wa India na China wana report malalamiko ya kutiana madole mpakana.
Majeshi yao yanayenganishwa na mstari wa mpaka tu kiasi hata majani ya chai na sukari wanaombana.
Wameamua kutokuwa wanabeba silaha ila wanasiasa wao wakitofautiana tu askari wao wanapigana kwa kutiana madole
View attachment 3111590
View attachment 3111591View attachment 3111592View attachment 3111594View attachment 3111593
😂😂😂😂Umehangaika sana kujitetea lakini kama unajua kidogo kimombo chukua hiyo kutoka kwa marekani yenyewe.
Screenshot_20240930-204352_1.jpg
Screenshot_20240930-211801.png
 
Kwa hiyo leo ni September 23?
Halafu mbona huyo mzushi mwenzako amekuwa muwazi kwa kusema ni near Alaska lakini wewe unayejua kimombo umekuja kutwambia ni ndani ya Alaska?
Haijasemwa kuwa ni kwenye International Air space imetajwa kuwa ni Alaska sasa kama unabisha bisha ila ndio hivyo. Halafu kuwa September 23 siyo issue kwani walio toa report hawajui kuandika tarehe?
 
Jamani mwenye Ramani ya Darasa la 4 atupie humu hivi AMERIKA NA ASIA zinapakana wapi
 
Ukitaka kuelewa kwanini Marekani na washirika wake wa ulaya wanazuia media za Russia Sputinik na RT njoo usome habari kama hizi.
Hawataki ukweli au udhaifu wao uonekane hadharani.
 
Back
Top Bottom