Yaani tuna kazi si kidogo kama taifa![emoji4][emoji4][emoji4] View attachment 1402244
Pole kwa kuchezea bakora mitama kutoka kwa askariKwa hali ilivyo sasa, hatujui hiki kirusi kitaacha dunia kivipi, leo kinameza wazungu kwa maelfu, nahisi Afrika kimetuweka akiba, kikikinai wazungu kitaelekeza pua huku.
[emoji1][emoji1][emoji1].....na tags kwenye kila comment, tena tags ambazo sielewi kwanini huwa sizioni kwenye notification zangu. Watz mkamateni huyu mzee, Geza Ulole, hata akileta fujo, mpelekeni Mental Hospital tafadhali. Nati la mwisho kwenye dish lipo karibu kudondoka. [emoji38]Yaani utawacha lini kuwa mjinga?? huwa unawaaibisha sana watanzania kwa upumbavu wako. unaokota tweet ambazo huzielewi na kuzibandika hapa ili iweje?
#Akilizahandshake#Yaani utawacha lini kuwa mjinga?? huwa unawaaibisha sana watanzania kwa upumbavu wako. unaokota tweet ambazo huzielewi na kuzibandika hapa ili iweje?
Badala ya kupambana na corona mnapiga wananchi wenu na kuwalaza kama samaki sokoniNi wazi Kenya inaamanisha kwenye vita dhidi ya virusi hivi, tumefunga mipaka, tumefunga viwanja vya ndege, kila mtu abaki kwao, iwe wazungu au hata majirani, kila mmoja apambane kinyake huko huko kwao.
Msemo wa buy kenyan ni msemo uliotumika tangu 2014 baada ya Uhuru kuingia madarakaniLOL πππππ mnaanza kucopy idea ya Magufuli mdogo mdogo