Congratulation Manyang'au... kuna jirani yenu mmoja anasema hao Wazungu waendelee tu kuingia kwenye nchi yake, na kwahiyo msiwatishe!!
Sema dah, sijapenda kabisa kilichofanywa na askari wenu though si ajabu kwa miaskari ya kiafrika manake sijui ina matatizo gani kwenye vichwa vyao!! The same would happen in Tz in case there would be a lockdown.
Sema dah, sijapenda kabisa kilichofanywa na askari wenu though si ajabu kwa miaskari ya kiafrika manake sijui ina matatizo gani kwenye vichwa vyao!! The same would happen in Tz in case there would be a lockdown.