Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mnaingiza ndege wakati zingine zinapaki kodi zetu hazina Kazi.
Air TANZANIA haiwezi survive bila Magufuli huu ndio ukweli, zaidi ya kuchezea kodi zetu tu
Ina engine?Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Huu ni ukweli wasioweza kuusemaHizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Huyo mama hana pesa za kununua ndege; hizi alilipia mwambaMagufuli alopokuwa ananunua ndege alipingwa na wakina Ayatollah Zitto Kabwe,mbona Mama naye ananunua asemwi?
Kikwazo kikubwa ilikuwa ni usafiri na Wala sio watu kutojua fursawatanzania ni watu ambao wengi hawazijui fursa za kibiashara za kimataifa, kenya wenzetu ndio wapo mbele zaidi kuzichangamkia fursa za exportation,
elimu iongezwe zaid juu yetu akili zifunguke izi ndege ziwe chachu kwetu.
Ndio majibu hayo?2019 na 2020 Maamuzi ya jiwe.
Ndio,! Vipi una swali lingine?Je wewe ni mfuasi wa Mwendazake?
TANZANIA - The Royal Touriandikwe "kazi iendelee"
nyengine iandikwe "Nungwi" au chewa
Nungwi au Chewaiandikwe "kazi iendelee"
nyengine iandikwe "Nungwi" au chewa
Pasipo shaka yoyote.Ndio majibu hayo?
Nasubiri wazee wa vipaumbele watuwekee loloki za kama hiki ni kipaumbele au tulipaswa kudeal na njaa kwanzaNdege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Siyo tunamalizia kupokea mzigo alokuwa amelipia cash hayati? hope kabla kamala hajatua bongo itakuwa imefika,mambo ya diplomacy hayo[emoji28]mitano Tena kwa mama akeee [emoji444][emoji448]
Majungu tuTwiga to Oman.
Ongea ukweli wako. Acha unaziWote.
Tena kipindi cha Magu maisha yalikuwa magumu sana kuliko haya ya leo maana unaweza kununua bidhaa yako mahali popote bila vizuizi vyovyote kutoka mamlaka yoyote.Ongea ukweli wako. Acha unazi
Ingekua kaleta JPM kipind kile ungeshangilia mpaka kukata miuno kama yule waziri!! Mna hila san walinda legacy!!!Twiga to Oman.