WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Hawana akili hao,ukabila tu umewatawala.Ingekua kaleta JPM kipind kile ungeshangilia mpaka kukata miuno kama yule waziri!! Mna hila san walinda legacy!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana akili hao,ukabila tu umewatawala.Ingekua kaleta JPM kipind kile ungeshangilia mpaka kukata miuno kama yule waziri!! Mna hila san walinda legacy!!!
Pigo kubwa kwa walinda legacy and co!!!Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Alitoa wapi pesa za kununulia? His own money? Mbona mnakua wajinga kwa ushabiki wa hovyo? Hata angenunua rais kutoka upinzani ni mali ya Taifa!!!Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Ona huyu 🤣🤣🤣 yaan una kazia kbs utafikir alitoa pesa za mshahara wake asee!!! JPM alikua CCM Samia ni CCM. Tatizo liko wap?Wanafikiri tumesahau aisee.
Tatizo kwake kabilaOna huyu 🤣🤣🤣 yaan una kazia kbs utafikir alitoa pesa za mshahara wake asee!!! JPM alikua CCM Samia ni CCM. Tatizo liko wap?
Alitoa wapi pesa za kununulia? His own money? Mbona mnakua wajinga kwa ushabiki wa hovyo? Hata angenunua rais kutoka upinzani ni mali ya Taifa!!!
Inamaana JPM alinunua ndege kwa ajili ya kubebea twiga wetuWanafikiri tumesahau aisee.
Tuwekee evidence kua alizinunua kupitia mshahara wake!! Ndipo uanze kutukanaMjinga kweli wewe....
Unashindwa kusema HONGERA HAYATI JPM ??.
watu wengine wapuuzi kwelikweli.
Ila maisha magumu awamu hii hajaleta jpm?Viva JPM. Ndege kanunua JPM
Ungekuwa umeshapata akili miaka ya 1979/80 ukashuhudia matokeo ya vita ile ya 78/79, leo ungeweza kutambua kuwa maisha magumu ya wakati huu ni matokeo ya utawal mbovu wa miaka mitano ya magufuli
.
Utakufa mwaka huu kwa nonvwaHizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Wakati wa JPM hizo pesa za kununulia walitoa wap? Mbona mnafanya kama vile JPM na Samia ni marais wa Nchi mbili tofaut na kichama?Hizi Ndege zininunuliwa wakati wa Magu.
punguzeni uchawa
Ila maisha magumu awamu hii hajaleta jpm?
Wakati wa JPM hizo pesa za kununulia walitoa wap? Mbona mnafanya kama vile JPM na Samia ni marais wa Nchi mbili tofaut na kichama?
Utakufa mwaka huu kwa nonvwa
Tuwekee evidence kua alizinunua kupitia mshahara wake!! Ndipo uanze kutukana
Yes na ni jambo zuri sana! Maana zimenunuliwa kupitia kodi zetu!! Ila ingekua ni kupitia pesa binafsi za mtu ingepaswa awe kiongoz wa kuigwa duniani!!Viva JPM. Ndege kanunua JPM
Utakufa mwaka huu kwa nonvwa