Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Ndege ya Mizigo Air Tanzania hii hapa. Kitu kipya!

Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.

Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.

Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.

View attachment 2550104
Pigo kubwa kwa walinda legacy and co!!!
 
Ungekuwa umeshapata akili miaka ya 1979/80 ukashuhudia matokeo ya vita ile ya 78/79, leo ungeweza kutambua kuwa maisha magumu ya wakati huu ni matokeo ya utawal mbovu wa miaka mitano ya magufuli
.

Akili kisoda.
 
Tuwekee evidence kua alizinunua kupitia mshahara wake!! Ndipo uanze kutukana

Kwahiyo mnaposema kuwa Samia kafanya kazi ya ziada kununua hizi ndege, mnamaanisha kuwa katoa mshahara wake? Hebu na wewe tuletee huo ushahidi wako hapa.

Vitu vingine mnabisha ilhali vipo wazi kabisa, hizo ndege zimenunuliwa katika era ya uongozi wa dikteta JPM, na kila mtu anajua ila mpo hapa kuendekeza uchawa tu.

Hizo ndege zinanunuliwa kwa kodi ya Watanzania, ila ulipo si ajabu kukuta ni jobless ambae hata kodi hulipi na upo hapa kupiga kelele tu.
 
Back
Top Bottom