Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
Kwani alitoa pesa yake mfukoni? Basi ziitwe air JPM ifahamike ni mali yake.Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani alitoa pesa yake mfukoni? Basi ziitwe air JPM ifahamike ni mali yake.Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Mbona daraja la kigamboni mnasema kajenga Magufuri?Barabara ya Dodoma Iringa mnasema kajenga Magufuri?
Sukuma gang.Wakina nani hao wanasema?
Alikuta deal limeshafanywa zamani, cheza na akili kubwa wewe...Hizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Na nyinyi msiodai hivyo ni gang gani?Sukuma gang.
Sasa umekuja pazur san.. kwanza sijasifia ndege kununuliwa na utawala huu bali nilisema ndege kufanyiwa advancing ya malipo na JPM na ikaja kumaliziwa malipo yote ni sawa cz ni CCM na wote wanafuata ilani ya 2015-2025!! Humu wengi walisema kua miundo mbinu na barabara nying zimejengwa awamu ya tano but ukirud kiuhalisia na facts barabaran klm nying zilijengwa awamu ya nne!!Unadai kuwa hauwezi kusifia yoyote kwakuwa wanatekeleza waliichotumwa ikulu, hilo siwezi kukupangia.
Kwanini utekelezaji huo (kuhusu mada tajwa) ambao kimsingi ulifanywa na JPM uhamishiwe kwa SHH?
Mtu atakuwa sawa kudai kuwa yaliyotekelezwa na JK katika era ya utawala wake, kuwa yalitekelezwa na JPM?
Jitahidini sana msiongozwe na chuki hata kama hamkuwahi kumkubali JPM, mnaonekana wajinga kitu ambacho si chema kwa mtoto wa kiume.
Alikuta deal limeshafanywa zamani, cheza na akili kubwa wewe...
President Jakaya Mrisho Kikwete and his delegation visit the Boeing planes manufacturing plant in Se
Sijui anafikilia nini hapo, mkuu kwanini sasa hao wasitukopeshe hata midege kumi hivi halafu pale atc ukatoa washwahili ukawaachia wazungu waendeshe hilo shirika tukawa tunawalipa tu mishahara,,, hapo nasisi situnaweza kabisa kutoboa tukawa kama emirates....www.jamiiforums.com
Ukiwakumbusha hilo, mara moja hongera zitageuzwa, wataanza kulaani uamuzi wa JPM! Yaani ni shida tu! Kila kitu ni hongera mama! Hata Bwawa la umeme waliumbuliwa na wafanyakazi waliposhangilia kwa nguzvu jina la JPM! Semeni ubunifu wa Samia tuushangilie! Siyo kudandia ubunifu wa mwendazake!Mjinga kweli wewe....
Unashindwa kusema HONGERA HAYATI JPM ??.
watu wengine wapuuzi kwelikweli.
Tanzania citizensNa nyinyi msiodai hivyo ni gang gani?
Angalia wenzako wanavyoshangilia huko, anaaauupiga mwiiingi, yule (mnamuita mwehu) alituchelewesha na kututesa sana!.Wanafikiri tumesahau aisee.
Tanzania citizens
Chato empireNa hao Sukuma gangs ni citizen wa nchi gani?
Kama ni hawa wanajeruhi na kula mazo ya wananchi wawapeleke tuu.Safina ya Noah ya angani hiyo.
Ni mwendo wa kubeba wanyama kwenda Oman tu.
Chato empire
Alikuta deal limeshafanywa zamani, cheza na akili kubwa wewe...
President Jakaya Mrisho Kikwete and his delegation visit the Boeing planes manufacturing plant in Se
Sijui anafikilia nini hapo, mkuu kwanini sasa hao wasitukopeshe hata midege kumi hivi halafu pale atc ukatoa washwahili ukawaachia wazungu waendeshe hilo shirika tukawa tunawalipa tu mishahara,,, hapo nasisi situnaweza kabisa kutoboa tukawa kama emirates....www.jamiiforums.com
Alikuta deal limeshafanywa zamani, cheza na akili kubwa wewe...
President Jakaya Mrisho Kikwete and his delegation visit the Boeing planes manufacturing plant in Se
Sijui anafikilia nini hapo, mkuu kwanini sasa hao wasitukopeshe hata midege kumi hivi halafu pale atc ukatoa washwahili ukawaachia wazungu waendeshe hilo shirika tukawa tunawalipa tu mishahara,,, hapo nasisi situnaweza kabisa kutoboa tukawa kama emirates....www.jamiiforums.com
Mi sio sifia sifia bali kumetokea upotoshaji san kuhusu utaratib ulioanzishwa wa kusifia!!
Hivi katika Marais waliojenga barabara,unaweza kumuweka jpm kweli!!..kajenga ipi!?Pesa ni kodi za wananchi. Nyinyi ndio mnasemaga ooo JPM alipiga mapesa ya pre bagairning kumbe ndega barabara mmeziona.
Hebu mpinge kwa namba tuone😂😂😂😂😂cheki huyu bibi😂😂😂😂