Jiwe alijipa miradi yote ya Kikwete na mlikuwa mnamshangilia leo mnawaambia wenzenu wapunguze uchawa!Hizi Ndege zininunuliwa wakati wa Magu.
punguzeni uchawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alijipa miradi yote ya Kikwete na mlikuwa mnamshangilia leo mnawaambia wenzenu wapunguze uchawa!Hizi Ndege zininunuliwa wakati wa Magu.
punguzeni uchawa
Keep left stpd dogJiwe alijipa miradi yote ya Kikwete na mlikuwa mnamshangilia leo mnawaambia wenzenu wapunguze uchawa!
🤣🤣😆😆Bwana yule sijui ilikuwaje akapata cheo kile kikubwa vile!😇iandikwe "kazi iendelee"
nyengine iandikwe "Nungwi" au chewa
Ila mm hii nembo ya twiga kuwakilisha tanzania huwa siikubali yaani utendaji wetu umekuwa kama km wa kitwiga twiga pia tupo taratibu mno na wala hatuna haraka.Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Dah sasa mmexpose si itakamatwa na wadaiwa wetuNdege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Mmh huu uongo jamaniTena kipindi cha Magu maisha yalikuwa magumu sana kuliko haya ya leo maana unaweza kununua bidhaa yako mahali popote bila vizuizi vyovyote kutoka mamlaka yoyote.
Ukweli ni upi?Mmh huu uongo jamani
Ume-consider factor ya maximum weight na uwezo wa engine? Au umeropoka tu?
Hizi Ndege zininunuliwa wakati wa Magu.
punguzeni uchawa
Sijasema mahala wanashindana kununua ndege wala kushindanisha, bali nimemuweka sahihi huyo ajue iliagizwa awamu gani. Punguza mihemkoKwani wanashindana kununua ndege? Tuache ujinga. Badala ya kuuliza iwapo nazo zina fault kama zile zilizolala na tumejipanga vp kukabiliana na hilo mnabishana ni nani aliyenunua ilihali hakuna raisi aliyenyimwa mshahara ili nchi iwe na ndege.
Linabinuka lile nguruwe pori kaburini.Binuka tu huna namna.
Utabininuka ww. TukujobekeLinabinuka lile nguruwe pori kaburini.
Kama ninakojobeka na mama yako.Utabininuka ww. Tukujobeke
Huna namba ww mamiyo na babiyo nawajobekaKama ninakojobeka na mama yako.
EMBU JISOME HALAFU USINIJIBU.Sijasema mahala wanashindana kununua ndege wala kushindanisha, bali nimemuweka sahihi huyo ajue iliagizwa awamu gani. Punguza mihemko
Mama anaupiga mwingi sana alisema anataka kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha usafirishaji pia kuifanya Tanzani akuwa kitovu cha biashara sasa tunaona anafanya kwa vitendo anahakikisha tunakua vizuri katika usafiri wa anga, majini na nchi kavu Mama endelea kuupiga mwingi hadi 2030 tuko pamojaNdege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104