stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,216
- 26,225
Hapa jiwe lazima limpate muhusika...Zikiwa huko tunakubaliana ni mpya, lakini zikifika huku zikaharibika zikapelekwa nje kwa matengenezo zinageuka jina, zilikuwa used!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa jiwe lazima limpate muhusika...Zikiwa huko tunakubaliana ni mpya, lakini zikifika huku zikaharibika zikapelekwa nje kwa matengenezo zinageuka jina, zilikuwa used!.
Kumbe kuna Sukuma gang(chawa wa Mwendakuzimu) na wavaa kobazi(chawa wa mama), haya makundi yazidi kudumishwa.Mvaa kobaz huwezi kuwa mfuasi wa mwendazake
"Nikifa, hizi ndege atanunua nani,mniombee ndugu zangu watanzania"Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Ile iliyokamatiwa uholanzi ndio basi tena, hata kwenye inventory ya ndege za ATCL haipo tena, zimebaki tatu tu za aina hiyo.Ile iliyokamatwa vp..imeshwachiwa..wasije kamata na hiyo
FAIZA,Yupo sahihi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cheki huyu bibi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo order inahitaji muda gani hadi kukamilika ndege kamili?.Hizo ndege zimeagizwa kipindi cha JPM, kule unaweka oda kwanza ndiyo inatengenezwa. Asikudanganye huyu, mama awamu yake hakuna hata ndege iliyoagizwa
Jpm hakuwa na hela ya kununua ndegeHizo ndege zilinunuliwa na JPM.
Thibitisha dai lako hili.Wqfiq deeen bna ndwge alinunua jiwe mama hajatoa chochote kutoka mchamba wimer
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuwa na uwezo wa kuplan vitu vizito kama hivyo zaidi ya kutekeleza vision ya MWANAJESHI JK.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hUYU MAMA HANA ALICHOWAZA HAPO, ALIKUTA MIKATABA ILISHASAINIWA NA PESA ILISHALIPWA HAKUWA NA JINGINE ZAIDI YA KUSUBIRI AZIPOKEE TU. JPM KICHWA SANA
Wanakiri kimyakimya.Kuna siku mtakiri kuwa JPM alikuwa kichwa!
Mbona zinafahamika ni oda za jiwe kwi kwi au mlikuwa hampendi kwq vile ni mkatoliki ?Thibitisha dai lako hili.
Kwa hiyo unataka kusemaje? wengine matak.o au..? Alafu ww, nyoko nnKuna siku mtakiri kuwa JPM alikuwa kichwa!
JPM alianza na kazi hii ya kuleta ndege na alituambiaga kuwa zinatengeneza profit kubwa sana tu. Alipokufa report ya CAG ilionesha shirika la ndege lilikuwa limerecord loss kubwa sana na haijawahi make hata profit. My question is, Kama ATCL ili record loss kubwa kama ilivoelezwa, ndege zinaendelea kununuliwa za nini? Je miundo mbinu ilishawekwa vizuri tofauti na wakati huo?Ndege ya kwanza ya mizigo mali ya Air Tanzania A 767-300 imeonekana katika karakana ya Boeing Washington ndege hiyo ina namba za usajili 5H-TCO.
Hizi ni miongoni mwa ndege 4 ambazo zinatarajiwa kuingia nchini muda wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa hili la Rais Samia kuongeza ndege za mizigo ni kama amegusa mahali penyewe ikiwa ndiyo mahitaji makubwa kwa nchi kusafirisha mizigo kwenda sehemu mbalimbali Duniani.
View attachment 2550104
Jpm hakuwa na hela ya kununua ndege😂😂😂😂😂😂