Ndege ya mizigo Boeing 767-300F ilibadilishwa jina kutoka “Hapa KaziTu" kwenda "Kazi Iendelee”

Unamuonea. Wakati mwingine mambo madogo yanaweza kuzaa makubwa. Nawe naona ni mkumbaff tena kuliko wewe unayejipendekeza kwa Samia utadhani huna mama. Acheni upuuuuuuzi huu kama hamna sifa kauzeni nyanya badala ya kuramba makalio ya watu kama nyinyi
 
Faida km huko inapoenda wajue hiko kiswahili na kiwe na maana ya kujitangaza sio politics..

sasa ndege inaenda uarabuni au china au state kupeleka cargo wewe umeandika kazi iendelee..
Hakuna shida mkuu wewe ndo unajichanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…