Ndege ya Rais wa Tanzania


Rais mwenyewe wa Kichina-china, nxt
 
Hii ndo ile aliyonunua Mkapa?
ndiyo, ndiyo ile ambayo watanzania walilala njaa, walikufa ma-hospitalini kwa kukosa madawa lkn wadau wakashika bango mpaka inunuliwe!
 
[/SIZE]Ndege ya Rais aina ya Gulfstream 550 iliyochukwa nafasi ya Fokker iliyozeeka na ambayo spea zake hakuna!!

Swali: Ndege hiyo ya Fokker kwa sasa iko wapi na inafanya nini?


Fokker-50


Fokker-28
 
duh hizo 'turbine' chambers zimechokaaa!
 
Yaani hicho ndio kidege cha raisi wa bongo? Shameful...
 
Yaani hicho ndio kidege cha raisi wa bongo? Shameful...

Mbona unasahau hadi kupatikana kwake watu walikula majani ya migomba hapo ndo uwezo wetu ndani ya ufisadi.
 
Mkuu unauhakika spares hakuna? au kuna jambo jingine?

You are quite right kuuliza swali hili. Nani kasema spea hakuna. Spea za ndege haziwezi kukosekana ni pesa yako. Ni kweli ndege aina ya Fokker 50 hazitengezwi tena maana kampuni ya Fokker ya Uholanzi ilifirisika siku nyingi. Lakini katika muda wa ndege ndege hii sio nzee sana na hasa kama inatunzwa vizuri. Watengeza vupuri wapo na vipuri vipo ila tuseme ni ukwasi wa fedha ndio maana wanasema ndege hii imechakaa.

Sijui kama mnaona siku hizi kuna ndege kila siku saa kumi jioni inaruka toka DAR kwenda Zanzibar, Ndege hii ni aina ya Dakota na hizi ni ndege za siku nyingi sana. Ndege hii haiko chini ya miaka 40 lakini iko katika hali nzuri na inaruka! Sembuse ndege ya Fokker 50 ambayo ni ya miaka ya 1980? Ni matunzo mabovu na si ukosefu wa spea. Spea zipo ni pesa yako.
 

Ndio ndege nzuri lakini mbona muungwana huwa anaiacha na kupanda EMIRATES? Inasemekana kamati ya ufundi inamkataza kuipanda panda hiyo ndege na pia kutokaa muda mwingi Ikulu ; ndio maana Safari haziishi, akitoka Rome anakwenda Montego Bay baada ya hapo New York halafu Denmark!! Huyo ndiyo mvumbuzi wetu Vasco Dagama.
 
Duhhhh,

Last time niliona President Kaguta Museven akitua nayo Jomo Kenyatta Aiport na hiyo ndege ya rais wetu kipindikile cha machafuko yalikuwa yamepungua na alikuwa ameisha muunga mkono Kibaki kuwa ndie rais.

Nkajiuliza how Museven amewasili na ndege yetu hapa uwanjani why?? na Jioni yake na kwa TV news zikaonyesha mapokezi yake.

Nilijiuliza maswali je ndege iyo ilikodiwa au?????
 

TGF uwa wanakodisha ndege zilizoko chini yao, ni pesa yako tu.
 
Mkuu unauhakika spares hakuna? au kuna jambo jingine?

sasa mbona haiko labaled zaidi ya sticker ya bendera tu.. ilitakiwa iwe na tumanjonjo flani at least..basi... we c unaona AIR FORCE .... au ndio wanahofia kuwa ikiwa easly spotted wadunguaji hawakawii kuitest ubora wake.. wakairushia Roketi ranger lol
 

Si kweli, kuna nembo ya taifa katikati ya dirisha la rubani.


Air Force One
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…