Za Cash, loan na lease ni gani kati ya hizo? Expound further.(E190)- 15
(787- 8) -8
(737-800)-8
(737-700) -8
(737-300F) -2
Total 37 approx 35 considering they have sold several in 2017 and website may not be fully updated.
https://www.kenya-airways.com/plan-and-book/kq-fleet/boeing-737-800/en/
Hakuna ndege hapo ya cash, Kulingana na takwimu za mikopo ya KQ, 38% YA Kila ndege hizo zote ni mali ya benki. Lease ni za Jambo jet Q400.Za Cash, loan na lease ni gani kati ya hizo? Expound further.
Nina kuhurumia tu. Na huenda ni mgeni wa jukwaa hili. basi karibu kwenye jukwaa hili kama huliwezi rudi ulikotoka.
Takwimu zako unatoa wapi? Probably ni guess work na assumptions. Ukisema 38% ndo unamaanisha nini, kila ndege ikona loan ya 38% au ni 38% of the fleet ndio ndege za loan?Hakuna ndege hapo ya cash, Kulingana na takwimu za mikopo ya KQ, 38% YA Kila ndege hizo zote ni mali ya benki. Lease ni za Jambo jet Q400.
Kama zipiWewe mwenye unajua sana niambie ni ndege ngapi KQ imelease. Hivi mnaelewa kwamba KQ pia Ina ndege nyingi ilizolease out kwa airline zingine?
Huyu ndio msemaji wa serikali?Kwahiyo tutakuwa na ndege 2 kubwa boeing 787 dreamliner
Wakenya wanadhani Tanzania tunatania. Hapa kutakuwa na ushindani wa nguvu. Na sisi lengo letu ni kuwaleta watalii nchini mwetu.
Mbona unapanic mwenzie kauliza vizuriUnafikiria Kwa mapua nini? Mimi nimeuliza ndugu yako anayeongea mambo haelewi swali Kisha unaniquote ukiuliza swali lilo hilo nililouliza.
Kuna watu wengine wakudharau tuUnafikiri zisingekua na faida zingenunuliwa au akili za kinyumbu ndio zinawatuma hvyo
38% ni deni za KQ ambazo wali convert to shares sababu walishindwa kulipa deni za mabenki. Sasa wacha hata hizo Ndege, hata viti,meza na kalamu 38% ni deni ya mabenki.Takwimu zako unatoa wapi? Probably ni guess work na assumptions. Ukisema 38% ndo unamaanisha nini, kila ndege ikona loan ya 38% au ni 38% of the fleet ndio ndege za loan?
Kampuni kua deni haimaanishi hio deni iko attached to all company assets. Kampuni karibu zote kubwa hii dunia wakona madeni. If the debt was converted to capital interms of shares wapi deni hapo?38% ni deni za KQ ambazo wali convert to shares sababu walishindwa kulipa deni za mabenki. Sasa wacha hata hizo Ndege, hata viti,meza na kalamu 38% ni deni ya mabenki.
Kenya Airways - Wikipedia
na wewe utuoneshe ni ndege ngap kq imenunua cashWewe mwenye unajua sana niambie ni ndege ngapi KQ imelease. Hivi mnaelewa kwamba KQ pia Ina ndege nyingi ilizolease out kwa airline zingine?
KQ leases out planes at a loss, Because it is much more of a loss to have an aircraft sitting idle because you do not have money to operate it. In short, it leases out planes to reduce loss not to make profit
na hio wanafanya sub lease wanakodisha ndege ambazo wamekodiKQ leases out planes at a loss, Because it is much more of a loss to have an aircraft sitting idle because you do not have money to operate it. In short, it leases out planes to reduce loss not to make profit
Utalii hauwezi kukua kama usafiri wa anga ni wa kutatanisha
onesha ndege ambazo nyie mumewakodishia watu nje ya neno sub lease tunasubiriUnafikiria Kwa mapua nini? Mimi nimeuliza ndugu yako anayeongea mambo haelewi swali Kisha unaniquote ukiuliza swali lilo hilo nililouliza.
Ukishakaa TANZANIA ukawajua WATANZANIA tabia zao halisi hutopata shida.wakati mwingine naona MAGUFULI anapofanya kitu bila kusikiliza watu ni bora maana binadamu jema hatunaYaani wanatamani nchi ibaki kuwa duni ili wapate makosa ya kujinadi majukwaani,
Rwanda iliponunua ndege mpya za kisasa walianza kuponda serikali yetu kuwa haina maana tunazidiwa mpaka na Rwanda? Leo hii wameshageuka tena ndege hazina faida yoyote Kwao.
Unafikiri zisingekua na faida zingenunuliwa au akili za kinyumbu ndio zinawatuma hvyo
When you convert debt to equity, you cede voting rights and directorships. These new directors represent the banks and their mandate is to payback their loans and exit.. So yes 38% of all assets owned by KQ belongs to the banks even the tissue paper in their toilets.Kampuni kua deni haimaanishi hio deni iko attached to all company assets. Kampuni karibu zote kubwa hii dunia wakona madeni. If the debt was converted to capital interms of shares wapi deni hapo?
Wewe unacheza sana. Sisi tuna ndege zaidi ya ishirini including dreamliner lakini tumetulia mpaka unatuona wajinga.Kwahiyo tutakuwa na ndege 2 kubwa boeing 787 dreamliner
Wakenya wanadhani Tanzania tunatania. Hapa kutakuwa na ushindani wa nguvu. Na sisi lengo letu ni kuwaleta watalii nchini mwetu.