Ndege ya Shirika la Kenya inabebwa na winchi JNIA, Dsm

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Ndugu zetu wa Kenya tunawapenda sanaaaa !! Baada ya siku kupita kufuatia sakata la umiliki wa ndege zenye jina la Kenya airways ambapo imbunge mmoja huko Kenya alihoji umiliki wa Ndege izo Sasa huko TZ ndege ya shirika ilo imeonekana ikibebwa na Winchi hii ni kufuatia ndege iyo kuwa mbovuuu japo bado haijambulika tatizo la ndege iyo lkn tazama iyo linki kwa kushuhudia zaidi

Hahahahah last week Kenya laugh at Tanzanian's flag carrier over manual push back and look now their Boeing is pulled by winch






 
Hii mindege ya miaka ya 60 inatakiwa ipelekwe recycling plant, KQ ina ndege ambazo modern aviation radars hazizitambui.
 
Ndege imechakaa mpaka rangi ya bendera haijulikani ni ya Pakistan au India
 
Winch ni kifaa sahihi kunyanyulia ndege ili itengenezwe, Nani anabisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…