Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Jay Zee yuko smart sana ..hata P diddy ni type izo za sakina Jay z ..sasa hawa vijana wa Siku hiz akina mayweither wakifika umri wa sakina jayz status zao zitakuwa hatarini kutoweka..
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja ya watu LeBron James anasema walisababisha aone kama inawezekana kuwa Tajiri kwa blacks ni Diddy, Jay Zee na Dr Dre.
In fact wakati Dre anauza Beats By Dre kwa Apple, LeBron alitengeneza $30 mil kwenye hilo dili, maana alikuwa amewekeza haizidi $2 mil.
Jamaa wamekuwa inspirational sana kwa blacks.