Ndege ya tano kumiliki Floyd Sinclair Joy Mayweather Jr.

Ahaa hadi ile series ya Power kumbe ni 50 ndo anaimiliki..!!

Hata hivyo jamaa naona Yuko bize na movie sana..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa umri wake sasa hivi Movie ni right place, sasa hivi hiphop vijana wame takeover.

Utakuta wanatrend kina Migos, Future, Chance The Rapper, 21 Savage, J Cole, Drake, Kendrick Lamar na madogo wengine. Yeye amebaki ni old school kwa sasa.

Ukiangalia hata hiphop kuna trending saa hizi ya Trap music naona inauza sana ambapo yeye hawezi tena kwa age yake.
 
Kwaio mtu ukijua ayo mambo... inakusaidia nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu hii ni golden Era ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawakubali sana hawa sijui niwaite athletis Michael Jordan na Michael Schumacher Mungu amjalie kama ataweza kurudi katika hali yake
 
Huyu tangu awatete Gucci . Hilo pambano kwenye black community wataangalia yeye na watoto wake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…