adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Kuna vitu vingi jk naona Kama anazingiziwa tu mengine uongo sanaAnachanganya watanzania wengi tunampenda kwa sababu ni social na good citizens kwenye mambo ya jamii (community issues) kama harusi, misiba, ku support local programmes ndogo ndogo ambazo viongozi wengine wa hadhi yake awatilii maanani.
Lakini aina maana kama kiongozi wa nchi alifanya kazi nzuri alikuwa raisi mmbovu mno; he will be doing us a lot of favour akijificha huko Msoga and no one will miss him.
Uko sahih mkuuKwanza ndege yenyewe haitengebezi faida, kila mara tunaambiwa wanaingiza hasara, si bora lichukuliwe tu kulikoni kuondoa 402B kwenye mzunguko w pesa nchini?
Unafikiri kulipa pesa nyingi kama hiyo haitaathiri mzunguko wa pesa nchini?
Tumekopeshwa na hao Ili kumlipa mhuni Ili ndege ilokamatwa kimagumashi irudishwe.Halafu leo eti uingereza inatoa msaada wa 15b kuipa tz, kumbe tunaouwezo wa kutoa 400b,aisee! Bongo inafurahisha mno.......
Ili tuwe wepesi kuukubali! Hayo mahesabu ya Trilioni umeyaona ndani ya mkataba!?Hata hujui mkataba utaisha lini!Msiwe wepesi kupinga uwekezaji wa bandarini. DPW akianza kazi mahali pale kwa mwaka mmoja TRA inakwenda kuingiza trilioni 26 kama kodi ya serikali.
Tutanunua ndege ngapi kwa pesa hizo?. Tutalipa madeni yote ya huko nje na chenji nyingi tu itabakia.
Dola zilikuwa adimu kipindi Fulani... nadhani Sasa zinapatikana!Unafikiri kulipa pesa nyingi kama hiyo haitaathiri mzunguko wa pesa nchini?
Marehemu anajisikia fahari kwani?Hela huzikwi nayo lakini inaweza kukununulia sanda utakayo
Kwenye hilo huna ushahidi, ni udini umekutanguliaNa viongozi wa upande ule pia waache ujuha wa kuliingiza taifa kwenye mikataba ya kimangungo
Hana tofauti na Samia uongozi wao ni ‘laissez faire’; kuna mengi ya ovyo yanafanyika bila ya baraka zao.Kuna vitu vingi jk naona Kama anazingiziwa tu mengine uongo sana
Waache walipe maana ata zikiwepo nchini wanagawana Wakubwatuanzie hapo, nani alisababisha kuvunja mkataba huo hadi tukala hasara hii. bilioni 400 na ushee tungejenga madarasa na hospitali ngapi? barabara ngapi ingejenga, afu mjinga mmoja tu anakuja kutusababishia hasara hiyo?
Naunga Mkono hoja.Kuna Kila dalili mjadala kuhamia huko.
Tumalizane na HOJA ya Bandari kwanza, hizi zingine ziwe NYONGEZA.
Bado dude la DPW,nyie jitoeni ufahamu.Hawa ndiyo watatutia umasikini totally!Dawa ya deni kulipa.
Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.
Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.
Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.
Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.
WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Nani aliyepitisha? Mawakili wa serikali walitoa ushauri gani? Nani anawajibika? Hatua zichukuliweMkataba alioingia Kikwete akaja kuuvunja Magufuli, then huyo Kikwete "think tank" wa Samia tunaona mwanafunzi wake akitutoa sadaka kwa waarabu milele..
Naamini kabisa huo mkataba ulikuwa wa kinyonyaji kwa watanganyika kwa sababu Magufuli hakuwa na tabia za Kikwete na Samia, hao wawili ni waswahili selfish sana.
Sina uhakika kama ubongo wako umetimia!! Haohao wananchi ambao wanapigia kelele kuhusu vifungu fikirishi juu ya DP world, still ww unakaza bichwa kuwapinga na kuwaona wana chuki!!!Hivi unafikiri ni nani analipa kama siyo na wewe?
Naunga Mkono hoja. Lakini, kwa maelezo yaliyopo ni kuwa hakuna kitakachobadilika maana wino umeisha mwagwa!!!Kuna Kila dalili mjadala kuhamia huko.
Tumalizane na HOJA ya Bandari kwanza, hizi zingine ziwe NYONGEZA.
Wakutie umasikini mara ngapi? Hapo ulipo hohehahe.Bado dude la DPW,nyie jitoeni ufahamu.Hawa ndiyo watatutia umasikini totally!
If that is the xase wangeliiacha ikafia hukoHiyo pesa iliyolipwa ilikuwa unapata ndege za aina hiyo hiyo 4 kutoka kiwandani. Naona tulicholipa ni kufuta aibu kama Taifa na sio kuikomboa ndege...
View attachment 2684015
View attachment 2684016
Kama ni kweli si tungewaachia tu hiyo ndege kwa kuwa haifiki hiyo hela, maisha yaendelee baadae na sisi tuwadai ndege na hasara ya Mabilioni waliotusababishia kwa kushikilia ndege ikiwa kazini... labda kama kukamata mali ilikuwa sehemu ya mkatabaBy MMM
Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.
Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33
Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?