Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiliwa kwa kuilipa Eco Energy US$ 165M (403bn Tsh)

Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiliwa kwa kuilipa Eco Energy US$ 165M (403bn Tsh)

Magufuli alikuwa ni mpumbavu na ni kweli hakupevuka kielimu kama makaratasi yake ya kubumba.

Serikali za nchi zinazojielewa, kama wakiona waliingia cha kike kwenye mkataba, hawauvunji bali wanatengeneza mazingira magumu kwa huyo mwekezaji mpaka mwenyewe anatema mzigo, kama kumuongezea kodi za hapa na pale na kumpiga faini kila kukicha kwa makosa ukiukwaji wa sheria kama za mazingira na kutembeza inspection za papo kwa papo mpaka mwenyewe anaona hatakiwi.

Lakini lile jinga la vijijini halina upeo huo, na katusababishia gharama nyingi za madai.
 
Tatizo hao wawekezaji mnawakaribisha kwa terms za hovyo, mlizoweka tamaa zenu binafsi mbele badala ya maslahi ya Tanganyika, ndio maana akija anayejielewa anaiona nia yenu ovu mwishowe anavunja mkataba.

Kulipa pesa za fidia kukiwa na maana ya kuilinda thamani ya Tanganyika, na utu wa mtanganyika kwangu naona afadhali sana, ashukuriwe yule aliyevunja mikataba ya hovyo dhidi ya mtanganyika.
Kwanini JPM alivunja mkataba? Anayejua tafadhali tupe story kamili ili tuelewe iwapo JPM alifanya makosa.
Inawezekana ni JMK ndiye aliyetaka kuuza nchi yetu afu tunamlaumu JPM
 
Kama magufuli asingekufa hao echo energy wala wasingedai kuvunjwa mkataba kwani sheria iko upande wetu. Ukiwa na wapigaji kuongoza wenyewe watawafuata hao kina echo energy kuwashawishi wadai na wao kuhakikisha serikali inashindwa mradi wanatoa percent. Ndio maana wamesubiri hadi magufuli amekufa ndio ukaona madai. Na kila madai yatakayoletwa samia atawaambia tulipe maana wanachotaka pia ni kuonnyesha eti magufuli alivunja mikataba kibabe.

..hizo kesi zilifunguliwa wakati magufuli bado ni raisi wetu.

..hayo makampuni hayakusubiri magufuli afe.

..suala hili liliwahi kuulizwa bungeni na Zitto Kabwe lakini Waziri wa Sheria Prof.Kabudi akagoma kulieleza bunge na taifa kuwa kuna kesi 13 zilifunguliwa dhidi yetu kwasababu ya kuvunja mikataba kibabe/kijinga.
 
Mzee wetu JPM nakubali san kutengeneza mfumo wa kiutendaji na kutaka mikataba yenye maslahi! But kweny fungu hili la kuvunja mikataba kibabe ali fail!! Cz madhara ya kuvunja mikataba kibabe ni hii payback!!!! Na haya LISSU alisimama kupinga uvunjwaji wa mikataba kienyeji lkn walinda legacy wakaishia kumuita LISSU mtetea mabeberu!!!!
Kama hujui uhuni unaofanywa nyuma ya pazia namafisadi nirahisi sana kumlaumu Magu kwa kuvunja huo mkataba.
 
Kama hujui uhuni unaofanywa nyuma ya pazia namafisadi nirahisi sana kumlaumu Magu kwa kuvunja huo mkataba.
Ku break contact utaingia gharama za miaka yote ambayo mtu atawekeza!! Tatizo ni CCM kuingia mikataba mibovu!!
 
kesi zote ni mkataba mpya wa mwendazake na wenzake kina kabudi na yule profesa uchwara mwengine, zinatutokea puani sasa.
Eti profesa uchwara. Huna hata aibu? Kwa nini wanadai sasa kama sio wanajua wana washirika kwenye hii serikali ya wapigaji. Unafikiri magufuli hakua na msingi wa kisheria kuwavurumisha hao wajanja zulumati waliyokua wanaweka mitego ya ulanguzi kwa kujidai uwekezaji?
 
Eti profesa uchwara. Huna hata aibu? Kwa nini wanadai sasa kama sio wanajua wana washirika kwenye hii serikali ya wapigaji. Unafikiri magufuli hakua na msingi wa kisheria kuwavurumisha hao wajanja zulumati waliyokua wanaweka mitego ya ulanguzi kwa kujidai uwekezaji?
Autowe wapi msingi wa kisheria?

Mbona alipominywa P alinywea? Kaminywa kidogo Canada, akaminywa kidogo South Africa, akaambiwa na zile zote ulizoagiza zinaweza zisituwe Tanzania na hizo ndege hzinaweza zisivuke anga ya Tanzania, mwenyewe akaachia.

Huwezi kujimwambafai kijinga duniani. Yule mtu alikuwa fala sana, hivi hamuijuwi historia ya Tanzania, Nyerere alivyominywa kwa kujimwambafai? Au na nyie vijana hamuyajuwi hayo? Ulizeni tuwaelezee.
 
Eti profesa uchwara. Huna hata aibu? Kwa nini wanadai sasa kama sio wanajua wana washirika kwenye hii serikali ya wapigaji. Unafikiri magufuli hakua na msingi wa kisheria kuwavurumisha hao wajanja zulumati waliyokua wanaweka mitego ya ulanguzi kwa kujidai uwekezaji?

..magufuli ndio alitakiwa kuwashtaki wawekezaji kwa kutumia ushahidi wa ripoti za prof.mruma na prof.ossoro.

Cc Nguruvi3
 
By MMM

Watu wamepiga kelele kutaka kujua ndege imeachiwa kwa masharti yapi. Leo MMM ametutonya kama ilivyo hapo juu Walitaka walipwe US&500M (1.2 Trillion) wamelipwa 403 Bn Tsh.

Magufuli kwa ubabe alivunja mkataba na EcoEnergy ulioingiwa na Kikwete.
cae no. ICSID No. ARB/17/33

Serikali ya Samia imelipa.
Zingelijenga shule ngapi?
Dawa kiasi gani?
Mikopo ya wanafunzi kiasi gani?

EcoEnergy lodges $500m claim after govt revoked its land title

Wednesday, September 20, 2017 — updated on April 17, 2021

View attachment 2684031

A poster showing where a multi-biliion Bafgamoyo Sugar Project was to be implemented by the EcoEnergy Group.PHOTO|FILE

Summary

The case has commenced at the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), the World Bank organ, which is based in Washington D.C.


Dar es Salaam. EcoEnergy Group has filed a $500 million arbitration claim against the Tanzanian government over its decision to unilaterally revoke land title for a multi-billion Bagamoyo sugar project.

The case has commenced at the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), the World Bank organ, which is based in Washington D.C.

The Commissioner for Lands informed the Bagamoyo EcoEnergy Limited in November, 2017 that the government had resolved to revoke the title deed for the 20, 400 hactares and instead replaced it with the name of the President of the United Republic of Tanzania.

The unexpected move dealt a major blow to the Swedish company that had for over 10 years worked to develop the project and invested $52 million in a ready-to-go project for local production of sugar, renewable electricity and fuel.

Attorney General and government’s chief legal adviser, George Masaju could not be reached by phone yesterday to react on the move. The project was tied under the bilateral investment protection between Tanzania and Sweden, which calls for disputes to be settled by international arbitration.

The revocation was followed by a series of unsuccessful attempts by the company to have dialogue with the government to save the project and pay compensation.

“Despite several invitations from EcoEnergy, GoT (Government of Tanzania) has ignored all offers to meet for a dialogue to save the project. Hence, EcoEnergy has no other option but to seek legal redress though an international arbitral tribunal,” states the document filed at ICSID. The company wrote to President John Magufuli on December 5, 2016 to request his intervention after failed efforts to have the Prime Minister, Kassim Majaliwa and minister for Industry, Trade and Investment Charles Mwijage to give a go-ahead and full support to enable the sugar project to start.

The consortium of EcoEnergy Africa AB of Sweden and Uttam Group of India was to inject $100 million towards the Bagamoyo project as own equity.

The remaining fund of $250 million would have been a combination of DFI and commercial bank lending where a commitment was given by African Development Bank (AfDB) to act as a lead financing arranger. They already had a board decision of the AfDB to allocate $100 million towards the project.

AfDB withdrew their financing commitment later due to inaction by the government to respond to their requests of endorsing the Bagamoyo project in combination with information that the government had revoked the land title with the intention of giving it to a domestic investor.

“We are concerned that you have not been fully informed about the actual situation and about our ability and interest to have the Bagamoyo Sugar Project up and running by 2019…Taking governments inaction and recent actions and their consequences into consideration we and our partners have now undesirably been forced to reassess the entire situation,” read part of the letter to President Magufuli.

The company has outlined several reasons why it opted for the international arbitration to resolve the dispute. “EcoEnergy has the right to be compensated for the financial harm suffered as the result of GoT’s acts and omissions violating the bilateral investment treaty.

“If the government is allowed to continue unchecked, its damaging actions towards private investors will lead to the loss of credibility for Tanzania as a destination for much needed direct investments into agriculture, as well as into other parts of the economy,” the company complains in the arbitration dossier.

The integrated sugar project that was to be carried out by the firm would have been one of the largest private agriculture investments in East Africa with an overall investment of about $500 million, including the outgrower programme.

The Bagamoyo project was estimated to create 20, 000 jobs in the processing facility, the estate, logistics, the outgrower programme and through indirect employment.

In 2013, the government of Tanzania issued a certificate of occupancy for 99 years for 20, 400 hactares free of encumbrance for the western portion of the abandoned Razaba ranch four years after an environment and social assessment certificate had been approved.

Then minister for Agriculture Livestock and Fisheries Mwigulu Nchemba sent a letter to Bagamoyo EcoEnergy on behalf of the government stating: “On behalf of the government of Tanzania and myself, we do appreciate your efforts in supporting the mentioned project. I think it is now time to make our outmost to bring the project to its successful implementation.” EcoEnergy now says: “The government’s act and omission, which have prevented the BEE project from being implemented, violate Tanzanian’s obligations under the bilateral investment treaty. The government has failed to ensure fair and equitable treatment, it has taken unreasonable and discriminatory measures against EcoEnergy,” read part of the document filed at ICSID.
Wenyewe wanasema hii ilikuwa land grab. Soma:

WHAT IS THE CASE ABOUT?The agribusiness company, Agro EcoEnergy wasgiven a 99 year lease to 20 thousand hectares ofland near Bagamoyo on the east coast of Tanzania,which it planned to turn into a sugar plantation.The planned investment was a flagship project ofthe New Alliance in Tanzania.The land was not empty. It was already in use bysmall-scale farmers and cattle herders. The firstphase of the project would have meant 300 peoplelost their homes, while another 1000 lost land.The company offered compensation but it didnot consult with the local people and get theiragreement and consent to the sugar plantation inthe first place. People were not given the right tosay no to the project. This breaks the internationallyrecognised principle of securing ‘free, prior andinformed consent’, making the project a land grab
 
Ripoti wanazosema zilkuwa za 'bargaining' kwa mujibu wa Prof Kabudi

..wana vichekesho sana hawa watu.

..hizo ripoti na ushahidi wao mbona havikusaidia ktk "bargaining" mahakamani tulikoburuzwa?
 
Dawa ya deni kulipa.

Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.

Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.


Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.

Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.

WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Hivi wewe ni Faizafoxy wa zamani!!!!
 
Mkataba alioingia Kikwete akaja kuuvunja Magufuli, then huyo Kikwete "think tank" wa Samia tunaona mwanafunzi wake akitutoa sadaka kwa waarabu milele..

Naamini kabisa huo mkataba ulikuwa wa kinyonyaji kwa watanganyika kwa sababu Magufuli hakuwa na tabia za Kikwete na Samia, hao wawili ni waswahili selfish sana.

Mikataba ya Kikwete iliwapa wageni haki ya kushitaki huko huko wanakotoka. Magufuli akaona huu ni upunguani, bora tule hasara, tufute hii mikataba, tuanze upya, ndio akaleta akaleta sheria inayolazimisha kutumia mahakama za hapa hapa Bongo.

Hao Wazungu kwenye submission yako mahakamani wamesema hatua za serikali ya Tanzania zitafanya ipoteze imani za wawekezaji ambao wanahitajika nchini Tanzania. Kana kwamba wanatujali kiviiile na kutuonea huruma. Kama wanatujali na kutuonea huruma kwa nini wametushitaki na wametupuna mabilioni ya hela masikini ya Tanzania ?
 
..wana vichekesho sana hawa watu.

..hizo ripoti na ushahidi wao mbona havikusaidia ktk "bargaining" mahakamani tulikoburuzwa?
'Scam artist' . Ushahidi alipeleka Prof mmoja akawa laughing stock.
 
Na hiyo kampuni ya mfukoni iko humu humu nchini.
Kikwete huyohuyo lazima yuko nyuma yake.na ametia pesa kibindoni kwa mlango wa nyuma.
 
Wenyewe wanasema hii ilikuwa land grab. Soma:

WHAT IS THE CASE ABOUT?The agribusiness company, Agro EcoEnergy wasgiven a 99 year lease to 20 thousand hectares ofland near Bagamoyo on the east coast of Tanzania,which it planned to turn into a sugar plantation.The planned investment was a flagship project ofthe New Alliance in Tanzania.The land was not empty. It was already in use bysmall-scale farmers and cattle herders. The firstphase of the project would have meant 300 peoplelost their homes, while another 1000 lost land.The company offered compensation but it didnot consult with the local people and get theiragreement and consent to the sugar plantation inthe first place. People were not given the right tosay no to the project. This breaks the internationallyrecognised principle of securing ‘free, prior andinformed consent’, making the project a land grab
whatever, hiyo kampuni imepata fedha za bureeeeee, bureeeeee bila kuzifanyia kazi..... why not negotiate new terms instead of ejecting them from the land unceremoniously?
 
Dawa ya deni kulipa.

Huwezi kukaribisha wawekezaji wakija kuwekeza halafu uwaambie "sitaki", lazima ile kwako kwa makubaliano ya Umoja wa Mataifa.

Moja ilishikwa Canada - tukalipa.
Nyingne ikashikwa Afrika Kusini - tukalipa.
Hiyo umeshikwa Uholanzi- tumelipa.


Tuliishika meli ya samaki, tukagawana samaki - tumelipa samaki, na meli na muda wote iliyokuwa imekaa kesi inaendelea.

Tuliowapora mali zao tukawalipisha "plea bargain" tumewalipa na bado tunaendelea kuwalipa.

WOTE HUO UJINGA WA MTU MMOJA, NA BADO MADUDU YATAENDELEA KUFUMUKA.
Tuna wanasheria wanafanya Serikali ishindwe Makusudi. Pumzika Kwa Amani Baba Magufuli.
 
Back
Top Bottom